mpotezee tu huyo,mi mwenyewe alini-PM sema nikacheka weeeeeee,nikamjibu afanye atakalo....mpotezee!!!!
we Dena nae,upo dunia gani mtu ka huyu anakusumbua kichwa? i repeat,she does not worth your time not even a secong to think about her!!!
Unakesi ya kujibu Babu
Ha ha ha ngoja nibadili naona unanitafuta
Aisee miChelle...ulijuaje kama hiyo mutu ni SHE?
kama ni mwanaume ana tabia zile then ni *******....am sure ni msichana mwenye umri mdogo tu,mi ndo maana sikuona shida ya kujibizana nae,as huko anakopita nilipita miaka nyuma....l.o.l:wink2:
Nimeshabadili signature umeona. Mie huwa situkani mtu hata siku moja kwanza sijawahi na sitathubutu
Achana nae tu na kumu ignore thats all,again member wengi wanaingia juzi basi ni wenyeji wa kila kitu humu,achana nae na wala usimjibu....
han...:wink2:HIZO nyota natamani nijue ulimaanisha nini.....manake ziko saba...lol
Haya niko mahakamani hapa.......
We si umesema nina kesi ya kujibu.....Nshafika na wakili wangu tayari...Msome mwenyewe hapa chini.....He umekuwaje?? Umefanya kosa gani au umemtukana jirani yako??
mbona husemi uko na lawyer wako advocate Michelle babu?anafikiri atakuweza???
Wakati unanikosea alikuwepo?? Hii ni between me and you. Full stop!!!!