Inaruhusiwa mtu kumtukana mwenzio kwenye PM??????

Pole shemeji yangu, uko powa lakini?
Huyo shostito anakuonya ukome kumfuatilia, hapa inaonekana amekuja na id mpya ili akutolee hasira alizokuwa nazo juu yako.
Pengine ujitathmini shem isijekuwa kweli umemkwaza mahali fulani, ingawa pia nakuaminia sana.
 
We acha utani nani anamchakachua mwenzie???

Hebu angalia nani kanigongea senksi kule kwenye posti yangu....... Wajukuu wako sambamba na babu, kwa maslahi ya kiuno cha babu....Hachakachuliwi n'tu hapa LOL

The Following User Says Thank You to Asprin For This Useful Post:

MwanajamiiOne (Today)​
 

Asante nishampoteze shem
 

Najua unao wengi ndo maana sina wasiwasi
 
ila na yeye analalamika kuwa una mfata fata, labda ungeweka mambo hazarani kabla sijaanzaa kumshukia huyo bibie mithili ya F -117 'attack aircraft'
 
Kwa hiyo mmekubaliana nini kwenye hii yuziful thread? Garlie Garlie afanyweje? apewe babu amtunze ama? Eti babu unapenda Garlie awe mjukuu wako?
 
ila na yeye analalamika kuwa una mfata fata, labda ungeweka mambo hazarani kabla sijaanzaa kumshukia huyo bibie mithili ya F -117 'attack aircraft'

Nimeweka kila kitu sijaficha chochote my dear
 
Kwa hiyo mmekubaliana nini kwenye hii yuziful thread? Garlie Garlie afanyweje? apewe babu amtunze ama? Eti babu unapenda Garlie awe mjukuu wako?

Tumempotezea tu
 
Dena najisikia kukutukana na mie...........kwa nini umetuwekea hii thread hapa inatujazia tu space??
 
CPU.............:A S 13::A S 13::A S 13:

unataka kunihamisha JF kwa lazima na hiyo avatar yako???? :A S 13::A S 13::A S 13:
 
ok ok!kyabushaija ONCE MORE.....!

KWAHERINI YA KUONANA
 
Daa huyu nikabizin mimi tuuu ila mniletee huku Choma Cha Nkola aje kulima pamba nadhan hasira zitamwishaa tuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…