Mi nipo poa?
sasa huyo bi dada umemchukulia mume?
Ha ha ha ha ah sawa basi ndugu zangu, nipeni muda niitoe
Watu wengine hawajalelewa vizuri na wazazi wao,wanashindwa kukabiliana na changamoto wanzaozipata kutokana na thead zao wanaishia kutukana watu,kubadilisha ID ili watoe matusi vizuri.Huko ni kufirisika kihoja.Unapoweka hoja yako hapa jamvini ujue watu watacomment kulingana na hoja iliyowekwa kama ni pumba watacomment pumba, kama ni mchele watacomment mchele.
Lakini mimi niombe radhi kwa Dena na wengine wote ambao walitukanwa siku hiyo. Na sijajua hadi leo ni kwa nini mimi sikutukanwa wakati ni mimi nilianzisha hiyo commotion.
Mimi nilimuona huyo mdada ameanzisha thread nne mfululizo ndani ya nusu saa na zote sikuelewa alimlenga nani wala alikusudia nini. Kwa hiyo nikamuuliza "what is da point?"
Dena, Lizzy, Michelle na wengine wakamtetea na kuniambia kwamba nijaribu tu kuelewa na kama sikuelewa basi nipotezee. Tena walimsifu na kumkaribisha.
Sasa sijui ni makuzi? au yuko humu humu na ID nyingine kwamba alikuwa anawatafuta?
Hata hivyo poleni sana waliotukanwa
Tangu nijiunge na JF sijawahi kupata PM ya aina hii ndo maana nimeamua kuiweka hapa uvumilivu umenishinda
Kilichonisikitisha zaidi ni siku hiyo hiyo ndo kajiunga kaja na matusi
Girlie Girlie
19th February 2011 06:26 PM
Member
Join Date : 19th February 2011
Location : Dar
Posts : 43
Thanks14Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power : 0
niache tafadhali
Huna akili pamoja upremium member wako. Ungekuwa na heshima ukaacha kunifatilia, endelea na maisha yako. I wish ningeweza kukublock milele!
Asante my dear!!!
Asante my dear!!!
Tangu nijiunge na JF sijawahi kupata PM ya aina hii ndo maana nimeamua kuiweka hapa uvumilivu umenishinda
Kilichonisikitisha zaidi ni siku hiyo hiyo ndo kajiunga kaja na matusi
Girlie Girlie
19th February 2011 06:26 PM
Member
Join Date : 19th February 2011
Location : Dar
Posts : 43
Thanks14Thanked 5 Times in 4 Posts
Rep Power : 0
niache tafadhali
Huna akili pamoja upremium member wako. Ungekuwa na heshima ukaacha kunifatilia, endelea na maisha yako. I wish ningeweza kukublock milele!
Mabomu ya gongo la mboto killed innocent people ikawaacha wahusika.