Inaruhusiwa mtu kumtukana mwenzio kwenye PM??????

Inaruhusiwa mtu kumtukana mwenzio kwenye PM??????

Ahhllah!!!!, Mambo ya Mipasho yashaanza tena huku!
 
Watu wengine hawajalelewa vizuri na wazazi wao,wanashindwa kukabiliana na changamoto wanzaozipata kutokana na thead zao wanaishia kutukana watu,kubadilisha ID ili watoe matusi vizuri.Huko ni kufirisika kihoja.Unapoweka hoja yako hapa jamvini ujue watu watacomment kulingana na hoja iliyowekwa kama ni pumba watacomment pumba, kama ni mchele watacomment mchele.

Hiyo bold tu mkuu pata haki yako hapa chini

The Following User Says Thank You to Domo Zege For This Useful Post:

Dena Amsi (Today)​
 
Lakini mimi niombe radhi kwa Dena na wengine wote ambao walitukanwa siku hiyo. Na sijajua hadi leo ni kwa nini mimi sikutukanwa wakati ni mimi nilianzisha hiyo commotion.

Mimi nilimuona huyo mdada ameanzisha thread nne mfululizo ndani ya nusu saa na zote sikuelewa alimlenga nani wala alikusudia nini. Kwa hiyo nikamuuliza "what is da point?"

Dena, Lizzy, Michelle na wengine wakamtetea na kuniambia kwamba nijaribu tu kuelewa na kama sikuelewa basi nipotezee. Tena walimsifu na kumkaribisha.

Sasa sijui ni makuzi? au yuko humu humu na ID nyingine kwamba alikuwa anawatafuta?

Hata hivyo poleni sana waliotukanwa

Hiyo Bold mkuu umeongea haswa.
 
Nahisi kuna tatizo, manake sidhani kama mtu naweza akaamka akaanza kukuandikia PM ya kukutukana bila sababu...!

Kuna chanzo cha yeye kufukia hatua hiyo, we need to know the other side of the story ambayo uínaonekana unaificha na kujaribu kutafuta sympath yetu ili tuone huyo mwingine ndio ana matatizo...!
 
Tangu nijiunge na JF sijawahi kupata PM ya aina hii ndo maana nimeamua kuiweka hapa uvumilivu umenishinda

Kilichonisikitisha zaidi ni siku hiyo hiyo ndo kajiunga kaja na matusi


user-offline.png
Girlie Girlie

19th February 2011 06:26 PM

Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 19th February 2011
Location : Dar
Posts : 43
Thanks14Thanked 5 Times in 4 Posts

Rep Power : 0


icon1.png
niache tafadhali

Huna akili pamoja upremium member wako. Ungekuwa na heshima ukaacha kunifatilia, endelea na maisha yako. I wish ningeweza kukublock milele!

Mi mwenzenu hadi hiyo avatar tu iliniogopesha manake naona kama inasadifu matrhead yake na mambo yake!!
Ila nilikaa tu kimya, coz daaaa!!
Kuna huyo NE naye balaa, kanipa bunge la tusi kwenye thread fulani, hivi.
Nikamsamehe tuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!! but daaaaaaaaaa!!!!!
 
Mimi naona wote mna makosa. Huyo aliyekutukana ana makosa na wewe uliyeanika pm ya mwenzako pia una makosa. Wakati naingia jf nilisoma sheria vzuri hairuhusuwi kuanika hadharani pm ya m2.
 
Tangu nijiunge na JF sijawahi kupata PM ya aina hii ndo maana nimeamua kuiweka hapa uvumilivu umenishinda

Kilichonisikitisha zaidi ni siku hiyo hiyo ndo kajiunga kaja na matusi


user-offline.png
Girlie Girlie
19th February 2011 06:26 PM

Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 19th February 2011
Location : Dar
Posts : 43
Thanks14Thanked 5 Times in 4 Posts

Rep Power : 0


icon1.png
niache tafadhali

Huna akili pamoja upremium member wako. Ungekuwa na heshima ukaacha kunifatilia, endelea na maisha yako. I wish ningeweza kukublock milele!

DA huyu ni mtoto, kwani ushamuona tena jamvini zaidi ya ile siku aloingia na ku-post viji-thread vingi.. kumbe aliamua kuingina na kasi ya matusi pia:A S 13:
 
Hiki kidude cha Pm kingekuwa kinaweza kutoa siri zote za ndani, wengine tungeoneana aibu wakati hata kuonana hatuoni.
Pole sana mamaa dena.
 
Back
Top Bottom