Sidhani, Fela na Tale ni vivuli vya Ruge. Ingekuwa hivyo basi Cloudz wangekuwa na bifu na hao mameneja wake pia maana wao ndo wanahusika sana kufanya bargaining za show za msanii, na kama hawa mameneja wangekuwa na bifu na Cloudz tusingisikia wakizipromoti kwa sana nyimbo za wasanii wao kama Madee,Chege,Temba na Yamoto Band. So research yako sidhani kama ina ukweli, mi nachoona ni kwamba nyimbo mpya za Diamond kama Mdogomdogo,Bum bum na huu wa sasa Nitampata wapi ni za kawaida sana, kitu kinachozibeba ni Video na sio Audio. Hazijafikia level za Ukimwona, Mawazo, Moyo wangu, Number1,etc