bwana ugali
Member
- Jan 13, 2015
- 25
- 7
Jamanii hii ni tetesi lakini nimeamua kuifanya utafiti na nimegundua nyimbo za Diamond zimepungua kupigwa kwenye kituo cha Television na radio cha Clouds baada ya msanii huyu kukataa mchongo wa Clouds kutaka ku manage msanii huyu wao.
Na mbadala wake wakaamua kumpandisha chati Ali Kiba ili Watanzania wapate mbadala. Fanya research na wewe uchangie.
Karibuni.
Na mbadala wake wakaamua kumpandisha chati Ali Kiba ili Watanzania wapate mbadala. Fanya research na wewe uchangie.
Karibuni.