Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Huyo dancer alikuwa Diana 'Aston Villa'
 
Huyo dogo nyama zimuote tuu hata mdomoni hakuna namna mpuuzi sana
 
Anaamini karogwa? Kwanini? Halafu nyama za mwili lazima zishikane na mifupa la sivyo umbo la mwili haliwezi kukamilika labda kama sijamwelewa
 
Huyo dancer alikuwa Diana 'Aston Villa'
ewaaaaaaaaa hahaa you nailed it Broo
kumbe unakumbu kumbu njema kiasi hcho hahaa
enzi za kina mama mingoi hizo na shangingi La mashangingi Shenazi..
kama yule SHENAZI ndio aliharibu na kuuwa watu wengi mnoooo ..saloon yake walikuwa wanashinda machoko tu ..nakila anapokwenda wame mzunguka...haya mambo Yakina delicious yalianzaga kitambo hahaa..enzi za FM club kinondoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…