Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Imeandikwa, Usihukumu usije ukahukumiwa.Aseme kweli tu hiyo ni ngoma,huyu haponi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeandikwa, Usihukumu usije ukahukumiwa.Aseme kweli tu hiyo ni ngoma,huyu haponi.
Kwanini sasa ???.To be honest kwa Mara ya kwanza nafurahia shida za binadamu mwenzangu....
Mungu nisamehe...
Imeandikwa, Usilipize baya kwa baya, bali lipa baya kwa wema. Na Mpende Adui yako, ndipo utakuwa Mkamilifu km Baba yetu wa Mbinguni.mshenzi sana huyo uvccm dhambi ya kumkebehi lowassa na kuwarubuni watanzania kuichagua ccm ambayo imeleta mateso makubw kwa watanzania acha imtafune
Duhhhh...[emoji15] [emoji15] [emoji15]Aseme kweli tu hiyo ni ngoma,huyu haponi.
Usihuku wote njia mojaAseme kweli tu hiyo ni ngoma,huyu haponi.
Duh!!Aseme kweli tu hiyo ni ngoma,huyu haponi.
Sisi tusiukumu kbsamshenzi sana huyo uvccm dhambi ya kumkebehi lowassa na kuwarubuni watanzania kuichagua ccm ambayo imeleta mateso makubw kwa watanzania acha imtafune
Umejuaje kama atahukumiwa?Imeandikwa, Usihukumu usije ukahukumiwa.
Hapana sisi hatujaumbwa hivyo kbsaTo be honest kwa Mara ya kwanza nafurahia shida za binadamu mwenzangu....
Mungu nisamehe...
Tumuombee daiamaJamaa ana H.I V huyo siawe muwazi tu .
huyo alikuwaga nirafiki wakaribu mnoo na marehemu max nawalipokuwa wnapita wanapajua wenyew...maana max aliondolewa na ngwengwe ..
sasa nahisi ARV zimeshaanza kudunda kwake sasa anaanza kumuona mtoa roho
Max gani ? Yule wa zembwela au ?Jamaa ana H.I V huyo siawe muwazi tu .
huyo alikuwaga nirafiki wakaribu mnoo na marehemu max nawalipokuwa wnapita wanapajua wenyew...maana max aliondolewa na ngwengwe ..
sasa nahisi ARV zimeshaanza kudunda kwake sasa anaanza kumuona mtoa roho
huyo huyo mkuuMax gani ? Yule wa zembwela au ?
aaamiiin mkuuTumuombee daiama
Lakini hazipo kwa ajili ya Steve pekee, ikuhuzunishe au ikufurahishe ni mtihani wake. Na wewe subiri mtihani wako halafu tutakusikitikia ili uushinde huo mtihani.To be honest kwa Mara ya kwanza nafurahia shida za binadamu mwenzangu....
Mungu nisamehe...
Hunishindi mimi japokuwa najihisi nna dhambi aisee... anyway Mungu afanye anachotakaTo be honest kwa Mara ya kwanza nafurahia shida za binadamu mwenzangu....
Mungu nisamehe...
Hytroprrotialisscranetiass Disease...Ugonjwa gani huo kitaalamu