Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Jamaa ana H.I V huyo siawe muwazi tu .
huyo alikuwaga nirafiki wakaribu mnoo na marehemu max nawalipokuwa wnapita wanapajua wenyew...maana max aliondolewa na ngwengwe ..
sasa nahisi ARV zimeshaanza kudunda kwake sasa anaanza kumuona mtoa roho
 
haka kaandunje kalikua kameoganaizi kampeni ya uzalendo nchi nzima yeye na washirika wenzie bongo muvi,wanadharaulika kwa kuuza utu wao na kuwahadaa watz kisa chama cha bwana yule.,,,kwa vijisenti vichache wanavyopewa huku wakila msoto mkali wa muvi zao zilizowadodea...... shwaini kabisa,,,,,,,

hata hivyo simuombei mabaya, kama binadamu mwenzangu anahitaji pumzi, na afya... get well soon stiv
 
Jamaa ana H.I V huyo siawe muwazi tu .
huyo alikuwaga nirafiki wakaribu mnoo na marehemu max nawalipokuwa wnapita wanapajua wenyew...maana max aliondolewa na ngwengwe ..
sasa nahisi ARV zimeshaanza kudunda kwake sasa anaanza kumuona mtoa roho
Max gani ? Yule wa zembwela au ?
 
To be honest kwa Mara ya kwanza nafurahia shida za binadamu mwenzangu....


Mungu nisamehe...
Lakini hazipo kwa ajili ya Steve pekee, ikuhuzunishe au ikufurahishe ni mtihani wake. Na wewe subiri mtihani wako halafu tutakusikitikia ili uushinde huo mtihani.
 
Back
Top Bottom