Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE hao ni wapya jf hawajui maandiko ya hapa.
Nimesahau jina lake ila kuna uzi unamuongelea, steve aliwekwa kwenye listYupi huyoo??
Sasa umembishia nini na umeandika nini?Wewe umemtaja Kimoko na yeye akakutajia Diblo!kama unajua Dilu ndio kiboko kwa nini wewe usimtumie kama SI ya kujikuna?Naona umejibu ' upuuzi ' mwingi kama ambavyo nilikuhisi yawezekana ukawa ni ' mpuuzi '. Bado nasisitiza Kwako kwamba ukitaka kuyaelewa maandiko yangu humu JamiiForums jitahidi sana hata uwezo wako wa Kufikiri / Akili uwe ni wa Kiwango cha juu kidogo vinginevyo utakuwa hunielewi halafu unakuja Kwangu na aina hii hii ya ' upuuzi ' wako.
Na kwa kukusaidia tu kuhusu hao wapiga Gitaa la Solo maarufu huko nchini Kongo huwezi ukamweka huyo Diblo Dibala wako na tunaojua vilivyo mziki wa Kikongo tokea miaka hiyo ya mwanzoni mwa 80 wapiga Magitaa mahiri wa Bendi za Kongo ni wawili tu Veteran Le Roi Dilu au Dilu Dilumona na mwenzake Beniko. Hata huyo Diblo Dibala wako japo nyie Vijana wa leo mnajifanya kumjua na kumsifia lakini Walimu wake ni hao na anawaheshimu hadi Kesho.
Diblo Dibala ni mpiga Solo mahiri wa Kizazi cha Pili cha Muziki wa Kongo akiwa na Wenzake wanne akina Dally Kimoko ambaye Wakongo wengi hupenda kumuita ' Gitare Ezanga Likwanza ', Burkinafaso Mbokaliya, Cain Madoka na Alain Makaba Prense ila wa Kizazi cha Kwanza ni hao wawili Le Roi Dilu au Dilu Dilumona na wapiga Solo mahiri wa Kizazi hiki cha Tatu Kongo ni hawa Watatu Mitre Ficarre Mwamba anapiga na Wenge BCBG ya JB Mpiana kisha Flam Mwenie Kapaya anapiga na Wenge Maison Mere ya Werrason na Felly Tyson anapiga na Quarter Latin Band yake Koffi Olomide.
Akhsante.
Nimesahau jina lake ila kuna uzi unamuongelea, steve aliwekwa kwenye list
Ha ha ha Diblo Dibala my favorite guitar soloistSikiliza Magitaa yote ya Kikongo ila siyo la ' Fundi ' Dally Kimoko.
Lete mastori [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ile list naikumbuka sanaa
R.i.p banza
R.i.p astonvilla na wengne ,,twaisubir list
Ha ha ha kumbe[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Hujanielewa nimemaanisha nini hapo kwa kutaja ' Dally Kimoko ' na wala hutokuja kuelewa. Ukitaka kuyaelewa ' maandiko ' ya GENTAMYCINE yakupasa pia hata uwezo wako wa ' akili ' au wa ' kufikiri ' uwe mkubwa mno vinginevyo unaweza ukawa kila siku unatoka ' kapa ' katika yale ninayoyaandika japo nashukuru kwamba kuna baadhi na Members wa JamiiForums sasa wananielewa vyema katika ' maandiko ' yangu na tunaenda sawa.
Mkuu yaani mpaka leo hii hujui kwamba GENTAMYCINE akiandika ' Dally Kimoko ' anamaanisha nini? Pole sana!
Ha haNadhani kuna mchanganyiko tu, hapo na wala hapahitaji akili kubwa kama unavyoongea wewe katika kuchangia issue ya kipuuzi kama hii. Mimi najua Dally Kimoko ni mpiga gitaa la solo katika band mbalimbali alikuwa anakodiwa. Sasa uliposema utasikia magitaa mengi lakina Dally Kimoko ndio balaha, nikakumbusha tu umemsahau Diblo Dibala!! Sasa hapo kama unavyojisifia wewe kuwa ndio una akili kubwa kivipi? Yaani hata ulichomaanisha cha kuwa Stive alikuwa mjuaji na amefanya mambo ya kila aina mpaka amefika hapo. Hilo mimi nilielewa hata kabla sijakujibu, ndio maana nikakuongezea hints! Hongera mwenye akili kubwa ambeya hujui hata sehemu ya ku argue.
ohooooo!!!!Ile list naikumbuka sanaa
R.i.p banza
R.i.p astonvilla na wengne ,,twaisubir list
Sikiliza Magitaa yote ya Kikongo ila siyo la ' Fundi ' Dally Kimoko.
Aliinadi ya nani mkuuAlinadi sana papuchi za bongo movie awaombe msamaha hao.
[emoji106]Nadhani kuna mchanganyiko tu, hapo na wala hapahitaji akili kubwa kama unavyoongea wewe katika kuchangia issue ya kipuuzi kama hii. Mimi najua Dally Kimoko ni mpiga gitaa la solo katika band mbalimbali alikuwa anakodiwa. Sasa uliposema utasikia magitaa mengi lakina Dally Kimoko ndio balaha, nikakumbusha tu umemsahau Diblo Dibala!! Sasa hapo kama unavyojisifia wewe kuwa ndio una akili kubwa kivipi? Yaani hata ulichomaanisha cha kuwa Stive alikuwa mjuaji na amefanya mambo ya kila aina mpaka amefika hapo. Hilo mimi nilielewa hata kabla sijakujibu, ndio maana nikakuongezea hints! Hongera mwenye akili kubwa ambeya hujui hata sehemu ya ku argue.
[emoji106]Ukifanya mambo bila kufikiri ndo madhara yake haya. Siku zote ishi kama kesho hautakuwepo