kasulamkombe
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,232
- 2,491
wamloge ana nini.Kajiloga mwenyewe.Kuhadi huyo hoi nani atawapigia simu wazee w vibamia simu waje wawachukue mabinti wetu kwa le mutuz naye wiki hii kajeruhiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha, mkuu inawezekana Mungu alikuepusha na mengiHivi Aisha alikufa? Nilimkosakosa na hela zangu za viazi 2006 na nilitaka nimuoe kabisa.
Sana, asikuambie mtu.Ha ha ha, mkuu inawezekana Mungu alikuepusha na mengi
We sio dr.Zama za ukweli na uwazi, mshkaji alisha jigonga asimtafute mchawi, show ya nyama kwa nyama ni tamu lakini madhara yake ni sawa na kukatikiwa kwa uskani mlima kitonga...
Ndanda KosovuIle list naikumbuka sanaa
R.i.p banza
R.i.p astonvilla na wengne ,,twaisubir list
Ndio maana nimesema mungu nisameheHapana sisi hatujaumbwa hivyo kbsa
Hakuna mkamilifu kbsa
Tumsamehe Kama Ndugu pale alipoanguka.hakuna mtimilifu
We mjinga acha kujifanya mungu...Lakini hazipo kwa ajili ya Steve pekee, ikuhuzunishe au ikufurahishe ni mtihani wake. Na wewe subiri mtihani wako halafu tutakusikitikia ili uushinde huo mtihani.
Fact. mwambie bro, that dude is nothing but an asshole.Sasa umembishia nini na umeandika nini?Wewe umemtaja Kimoko na yeye akakutajia Diblo!kama unajua Dilu ndio kiboko kwa nini wewe usimtumie kama SI ya kujikuna?
hahah..sipati picha itakuwaje usukani ukatike kitonga, maana mbilinge zake si mchezoZama za ukweli na uwazi, mshkaji alisha jigonga asimtafute mchawi, show ya nyama kwa nyama ni tamu lakini madhara yake ni sawa na kukatikiwa kwa uskani mlima kitonga...