Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

Tetesi: Inasemekana hali ya Steve Nyerere yazidi kuwa mbaya aomba kama kuna aliyemloga amsamehe

wamloge ana nini.Kajiloga mwenyewe.Kuhadi huyo hoi nani atawapigia simu wazee w vibamia simu waje wawachukue mabinti wetu kwa le mutuz naye wiki hii kajeruhiwa
 
Pole yake sana, mungu amponye! Akumbuke kuwa maradhi yanaweza mfika yeyote yule, maana wakiwa wazima wana Dharau sana wengine
 
Tatizo muhusika bado hajakubali hali yake,mbona wengi wanao lakini honestly ukishaupata ukimwi unapaswa kuwa karibu Na muumba kuliko wakati wowote ule. Kifo kipo Na kila mtu atakufa lakini mtu ushatangulia hatua moja mbele lakini bado kutwa kutukana watu,Mara kampeni ya uzalendo Mara Kula rambirambi za marehemu yaani tuhuma kibao mzee kijana yule. Binafsi simwombei kupata nafuu maana atakuja kuwamaliza waliobaki.
 
Jamani anastahili Faraja katika hali aliyonayo. Fikiria akiona hii thread, nadhan anaweza kuzimia au kufa kabisa
Lakini si ilisemwa dawa ya kutibu ukimwi imevumbuliwa? Wapi inapatikana!
 
Alipokuwa anatembeza dushe lake alikuwa amerogwa pia? Zile dawa zina masharti usipoyafuata kufa lazima halafu zile dawa hazipatani kabisa na chama tawala . Afe tu kajiroga mwenyewe
 
Sasa umembishia nini na umeandika nini?Wewe umemtaja Kimoko na yeye akakutajia Diblo!kama unajua Dilu ndio kiboko kwa nini wewe usimtumie kama SI ya kujikuna?
Fact. mwambie bro, that dude is nothing but an asshole.
 
Zama za ukweli na uwazi, mshkaji alisha jigonga asimtafute mchawi, show ya nyama kwa nyama ni tamu lakini madhara yake ni sawa na kukatikiwa kwa uskani mlima kitonga...
hahah..sipati picha itakuwaje usukani ukatike kitonga, maana mbilinge zake si mchezo
 
Huyu jamaa si niliona instagram akijibizana na dada mmoja hivi...dada analalamika why kamuambukiza AIDS ?
 
Back
Top Bottom