Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania kama kawaida yao....
Jamani hizi bange za kuvuta kipindi cha mvua zina madhara ndo haya sasa
aaah hance hata wewe ? huyu kafa bwana aiseeNdio maana wale watoto wakawa wakavu vile ,yaani hata sura za majonzi walikuwa hawana
Ni wazi hapa kuna tatizo la 'l' na 'r'.Bluney ndio wapi?
Yule mtoto mkubwa alikua na majonzi hasa, Pia akiona sinema mama yake anacheza ni km alikua anawaza zamu yake sijui liniNdio maana wale watoto wakawa wakavu vile ,yaani hata sura za majonzi walikuwa hawana
Mkuu naomba na mie maujanja ya kukesha JF, aisee nakuona hapa uli reply saa saba kasoro usiku wa leo. hahahahahaha. Safi sana. JF ina wenyewe na wenyewe ndio akina UshimenOhoooo.......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Ivan again......[emoji15] [emoji15] [emoji15]