Inasemekana Ivan the Don hajafa

Inasemekana Ivan the Don hajafa

Story tu.hayo ulouliza ya kutoonyesha sula ya mtu ndo sawa,ila eti aliwapiga wazungu dhahabu fek ni hadithi tu.wazungu wanajua dhahabu kuliko sisi tulionazo
 
f77c79bad405b963f356d730e8b95db1.jpg
Watanzania kama kawaida yao....
 
Sisi tunajua amekufa na amezikwa, km hajafa atajua mwenyewe na tukimuona n mbioo[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] pengne ndo anataka
 
Ohoooo.......[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Ivan again......[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Mkuu naomba na mie maujanja ya kukesha JF, aisee nakuona hapa uli reply saa saba kasoro usiku wa leo. hahahahahaha. Safi sana. JF ina wenyewe na wenyewe ndio akina Ushimen
 
Watz bana mtu anakaa mwananyamala hapo anaandika Ivan hajafa na wote tunaamini

Mtu huyo huyo hata sura hajawah kumuona huyo Ivan kamjulia Insta tuuu.

Tuiache familia yake ipate faraja jaman.... kwan Ivan ni nan hadi asife akati sie wote someday tutakufa.
 
Back
Top Bottom