Inasemekana Jeff Bezos kufanya harusi ya zaidi ya Trilioni 1.

Inasemekana Jeff Bezos kufanya harusi ya zaidi ya Trilioni 1.

Kataa ndoa hajui hata chai anywe nini kanuna hukoo anaandika huku kakabwa🤣🤣🤣🤣

Weitaaa ongeza🍷🍿🍷🍿🍷🍿🍷🍿
 
Afadhali hao wanaofanya harusi za gharama kubwa kwa hela zao bila kutegemea michango kutoka mifuko ya watu wengine kama waswahili wanavyosumbua watu kwa starehe zao
 
Ni halali na ni haki yake. Katika Trillion nyingi alizo nazo, katumia 1 kufanya harusi yake.

Kwani kazi ya pesa ni nini?
 
Back
Top Bottom