Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni hizo hizo zilizokwishatolewa za kunawa na maji tiririka, vitakasa mikono, kuvaa barakoa hasa kwenye mikusanyiko, kuzingatia lishe bora na mazoezi, kutengeneza nyungu na juisi za matunda ambavyo utakuwa unatumia mara kwa mara ku-boost kinga ya mwili.Kama yeye anadhan chanjo ndiyo itamlinda yuko sahihi,kama naww unadhan Maombi ndo yatakulinda upo sahihi,usibeze mawazo ya mwenzako,kila mtu ana maisha yake,
Na unataka watu wajikinge vip na hiyo Covid 19??
Chanjo situmii kwa kweli ntapambana na machungwa maana ndio yaliniokoa nilikuwa nakula machungwa kama chizi na unga wa ubuyuKwa mikiki uliyopitia hapo awali Unasemaje kuhusu Chanjo ikija utachoma au utakimbia
Israel walipochanja zaidi ya 70%..... Delta variant imepata watu 500 hivi.... But 93% hawajapata serious infection sababu chanjo imesaidia. Bila chanjo ina maana wangekufa au kuwa mahututi.Aliyekwambia chanjo ya mabeberu ya Pfizer ndo itakulinda na kifo ni nani
Yale majeneza ambayo hayana maiti?Nasikia Uganda Delta imeyakumba hadi majeneza, nayo yanakufa na kuzikwa
waisraeli ndo wapinzani namba moja wa hizo chanjo huwa nafuatilia habari zao, sema na wenyewe wanapelekwapelekwa na wanasiasa.....hiyo chanjo hakuna inachosaidia zaidi ya kuharibu mfumo asili wa kinga ya mapafu na kuingiza sumu mwilini.Israel walipochanja zaidi ya 70%..... Delta variant imepata watu 500 hivi.... But 93% hawajapata serious infection sababu chanjo imesaidia. Bila chanjo ina maana wangekufa au kuwa mahututi.
Ni fact hii sio speculation kama zako
Hukutengeneza nyungu yenye mchanganyiko wa tangawizi, vitunguu swaumu, kitunguu maji, pilipili na limau.......ungepiga hii cocktail unge revive mapema sana.Chanjo situmii kwa kweli ntapambana na machungwa maana ndio yaliniokoa nilikuwa nakula machungwa kama chizi na unga wa ubuyu
Chukua tahadhari zote zinazoshauriwa na wataalam wa afyaIla Tanzania masihara ni kubwa mno kuhusu Corona. Omba Tu Mungu isikupitie au kupitia wa karibu yako au ndugu ndiyo utajua machungu yake. Sitaki kukumbuka madhara ya hii Corona kwenye ukoo wetu na majirani kadhaa. Rest in Peace my people.
Watakusikia? Sijui wa TZ tumelogwa na mlozi kafa? Watu na viongozi wetu hawajali. Kumkimbilia Mungu kwa uzembe wetu ni kumkufuru. Hatatusaidia.Niliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Hapana mkuu sjapiga nyunguHukutengeneza nyungu yenye mchanganyiko wa tangawizi, vitunguu swaumu, kitunguu maji, pilipili na limau.......ungepiga hii cocktail unge revive mapema sana.
Noma sanaInavyosemekana hili ni toleo la nne kati ya matoleo 24 yaani tunaenda na herufi za kigiriki sasa tulianza na Alpha tutamaliza na Omega.....ukinusurika hayo yote bila kuchanjwa basi wewe ni mwamba[emoji1787][emoji116][emoji205]
View attachment 1843810
Upungufu wa mitungi ni tatizo moja lakini mikusanyiko ya watu kwenye mipira, makongamano na kukimbiza mwenge ni tatizo jingine. Daktari mmoja wa Bugando ameugua baada ya kumtibu mkimbiza mwenge Mwanza.Kipi ni ushahidi wa kwamba huo upungufu wa mitungi ulikuwepo toka zamani?
corona haipoNiliandika kama mara 4 hivi kuhusu COVID-19 sasa wanaiita Delta Variant. Nikaandika kiufupi tu kuwa hatuishi kwenye dunia ya peke yetu, nikaendelea kuhusu ugonjwa huu kuingia nchini kutoka Uganda, hakuna aliyejali.
Sasa leo ITV wametangaza upungufu wa oxygen Bugando. Niliomba Serikali yetu tukufu ipige marufuku mikusanyiko yote mipirani, mikutanoni na hata kwenye mazishi, misiba, harusini, mikutano ya hadhara ya kisiasa na kidini n.k. Nikaandika hilo gonjwa la COVID-19 au Delta Variant linateketeza wenzetu Uganda, bado watu hawaamini.
Sasa hayawi hayawi yamekuwa. Nilishangaa sana na hata kupigiwa simu na marafiki zangu waliopo nje ya nchi wakishangaa sana kuona mechi ya Simba na Yanga kujaza watu wote wale elfu 55 sio maskhara. Narudia tena kutoa wito kwa wahusika kupiga marufuku mikusanyiko ya watu. Jamani jamani tunaishi dunia hiyo hiyo ya wenzetu tena waafrika wanaoathirika na kuteketea.
Tulete chanjo ya Pfizer kupitia mahospitali binafsi na ya serikali. Anayetaka achanje asiyetaka shauri lake ila tutashindwa hata kwenda sokoni na hizo jezi za Yanga na Simba zitageuka sanda.
EEH ALLAH TUNUSURU NA WANUSURU WAJA WAKO WOTE AFRIKA NA DUNIANI.SISI TUNAKIRI MBELE YAKO KUWA TUNAISHI KATIKA DUNIA HIYO HIYO WANAOISHI WENZETU ULIYOIUMBA WEWE MTUKUFU PEKEE. AMEEN.
Hivi huu mwenge bado upo!?Upungufu wa mitungi ni tatizo moja lakini mikusanyiko ya watu kwenye mipira, makongamano na kukimbiza mwenge ni tatizo jingine. Daktari mmoja wa Bugando ameugua baada ya kumtibu mkimbiza mwenge Mwanza.
Tatizo la ugonjwa upumuaji lipo hadi sasa na ndio maana hata huko walikotangaza huo upungufu wa mitungi wamesema hiyo mitungi kwa ajili ya wenye matatizo ya kupumua na wagonjwa wa corona, tatizo sasa imekuwa kwamba tukisikia matatizo ya kupumua tunahitimisha kuwa ni corona tu ndio maana hata Rais Samia siku ile anaambiwa huku kwa wenye matatizo ya kupumua yeye anauliza kama ni covid.Ndugu zangu hivi 'kwa mfano wewe mwenye hospitali ungeanzia wapi kusema tuna upungufu wa mitungi wakati ule, maana ingemaanisha kuna wagonjwa wa corona, na hapo ndo shida ingekuangukia, manake serikali haikutaka kusikia story hizo za corona maana hata Rais alishatangaza ugonjwa huo haupo/ umetokomezwa ..... yaani ilikuwa kazi kweli ,na ndipo kwa kuficha wakaja na jina la ' tatizo la ugonjwa wa upumuaji' .......... hahahahaaaa
Hayawi hayawi, siyo neno la furaha!!! ndo mwalimu wako wa UPE alivo kufundisha??? mrudie tena umwambie arudishe mshahara alio kulaEti " Hayawi hayawi sasa yamekuwa" bob nini cha kufurahia hapo kwa kauli yako hii?
Ameugua nini?Upungufu wa mitungi ni tatizo moja lakini mikusanyiko ya watu kwenye mipira, makongamano na kukimbiza mwenge ni tatizo jingine. Daktari mmoja wa Bugando ameugua baada ya kumtibu mkimbiza mwenge Mwanza.