Nyaru-sare
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 5,261
- 3,679
Dunia ya leo una kaamini ka mungu kale kazeruzeru!! tena kabaguzi kakubwa kale ka vatican?? kwa taarifa yenu Mtasubiri sana kamwe hakaji kale!!! na sisi hatufi ng'oo!! .....kufa mwenyewe!!Endeleen na ukaid wenu,jamaa yenu alisema hivyo hivyo kuwa tegemeo ni mungu,yuko wapi leo??
Kwani huko Vatican wanakodanja kila leo hawana Mungu??
Anyway,kufa wote tutakufa,mwenye masikio haambiwi sikia
umesikia wapi weusi wamekufa na COVID? hao wlio kufa ni uzee tu ulifika. Umesoma shule Babu au una ganga njaa?? yule yenu jamaa alikufa kwa Atrial fibrillation. hii ni tofauti siyo COVID, kasome upya hayo ni Magonjwa mawili tofauti!!!