#COVID19 Inasemekana kirusi cha COVID-19 aina ya Delta kimeingia Mwanza

Endeleen na ukaid wenu,jamaa yenu alisema hivyo hivyo kuwa tegemeo ni mungu,yuko wapi leo??

Kwani huko Vatican wanakodanja kila leo hawana Mungu??

Anyway,kufa wote tutakufa,mwenye masikio haambiwi sikia
Dunia ya leo una kaamini ka mungu kale kazeruzeru!! tena kabaguzi kakubwa kale ka vatican?? kwa taarifa yenu Mtasubiri sana kamwe hakaji kale!!! na sisi hatufi ng'oo!! .....kufa mwenyewe!!

umesikia wapi weusi wamekufa na COVID? hao wlio kufa ni uzee tu ulifika. Umesoma shule Babu au una ganga njaa?? yule yenu jamaa alikufa kwa Atrial fibrillation. hii ni tofauti siyo COVID, kasome upya hayo ni Magonjwa mawili tofauti!!!
 
Unapenda ubishi? Kwani hujui kwamba serikali iliyopita haikujishughulisha na mambo ya Covid? Hata pesa walizopata walizipiga..Vifaa tiba alikuwa anakataa kwamba vinaleta barakoa.

Kama unataka ligi ya ubishi tafuta wengine.
Duh! kukuuliza ushahidi tu ndio nimekuwa napenda ubishi? sasa tunajadiliana nini sasa?

Ok basi yote unayosema ni kweli kabisa,jioni njema.
 
Kwamba kipo Mwanza hiyo ni assumption. Fact ni kwamba kipo Tanzania, Dar es Salaam, Tanga
Hujamsikia daktari wa Bugando alipotoa taarifa kwamba Wana uhaba wa mitungi ya gesi ya oxygen sababu wagonjwa wameongezeka kwa kasi?
 
Chanjo situmii kwa kweli ntapambana na machungwa maana ndio yaliniokoa nilikuwa nakula machungwa kama chizi na unga wa ubuyu
🤣🤣🤣🤣🤣 unga wa ubuyu una vitu gani vya kusaidia kupambana nahao virus???
 

Huyu jamaa na

Na kundi la watanzania

Ndio linatakuja kugarimu kwa ubishi
 
Sasa hata hizo alfa na beta hatujaziona , unatutia hofu na delta. Usitutishe . Warudi maabara watengeneze vingine hata Gigabite maana huku kwetu bado watu wanaishi kama kawaida na tunaendelea na maisha .
 
Unapenda ubishi? Kwani hujui kwamba serikali iliyopita haikujishughulisha na mambo ya Covid? Hata pesa walizopata walizipiga..Vifaa tiba alikuwa anakataa kwamba vinaleta barakoa.

Kama unataka ligi ya ubishi tafuta wengine.
Kwaiyo kipindi hicho,maiti ziliokotwa mabarabarani kama mabwana wenu walivyokuwa wakitabili, maana pamoja na kutangaza ujio wa corona akuna atuna zozote zilizo chukuliwa.itachukua miaka mingi africa kujikomboa kifikira.
 
Jogoo akawika, “Usiku na uche tumchinje kondoo...................”
 
Kimalize hiyo Kanda pendwa yote
 
Kichekesho ni Bimkubwa kusema taarifa alizonazo ni wagonjwa 70 pekee ndiyo wako kwenye mitungi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…