[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Kiwanda cha nyuzi,
Tunafyatua popote na mikoani tunatuma kwa uaminifu mkubwa.
Mnaiba hadi kiswaki asubuhiMnatuchukuliaje lakin sie wa huku mbagala rangi 3?
Sasa mkuu wewe gheto kwako kuna panya wana misplace miswaki yako ndio untupa lawama mitaa!!?.Mnaiba hadi kiswaki asubuhi
Toa oda yako kwakua tunaifunga kwenye kocha ili wasisahau kwAmba inaenda uchaganiππ.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
We ishi popote Data wasikupangie, kila sehemu ni haki yako ndugu...Sasa mkuu wewe gheto kwako kuna panya wana misplace miswaki yako ndio untupa lawama mitaa!!?.
π€£π€£π€£π€£Ila kweli..mbagala rangitatuπ
Mi sitawaelewa kabisa na maneno yao... Mwandiko wako tu umekaa kimbezi beach mamilooπ€£π€£π€£π€£π€£ Huko sipo etiii...ππ Kwa mkunduje na mpalange mweeeh....
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Wallah you made my night..πMi sitawaelewa kabisa na maneno yao... Mwandiko wako tu umekaa kimbezi beach mamiloo
Si umeona sasa mixer viinglishi... Asha wangu wa tandale yeye kiswahili tu mtihani ukijichanganya ukamwandikia kizungu basi ujiandae na kesi ya kumtukanaπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Wallah you made my night..π
πππππππSi umeona sasa mixer viinglishi... Asha wangu wa tandale yeye kiswahili tu mtihani ukijichanganya ukamwandikia kizungu basi ujiandae na kesi ya kumtukana
Mpenzi wangu sio wa uswaziIzi ni tetesi tetesi tu kwamba asilimia kubwa ya wadada humu ni kutoka uswazini yaani akina mwajuma ndalandefu na chausiku.
Eti kwamba wadada wa ushuani wao ni insta na twitter ukimwambia Jf haijui,
Eti kwamba wadada wa ushuani wana vijiswaga vya kudekadeka tofauti na humu wengi ni wagumu mbagala rangi tatu
Eti kwamba hatujawahi kualikwa birthday humu na mdada yeyote kama wafanyavyo watoto wa kishua
Eti jamani ni kweli ?