Inasemekana kwamba wadada wengi wa jf ni wa uswazi

Babumawe

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2014
Posts
2,556
Reaction score
2,571
Izi ni tetesi tetesi tu kwamba asilimia kubwa ya wadada humu ni kutoka uswazini yaani akina mwajuma ndalandefu na chausiku.

Eti kwamba wadada wa ushuani wao ni insta na twitter ukimwambia Jf haijui,

Eti kwamba wadada wa ushuani wana vijiswaga vya kudekadeka tofauti na humu wengi ni wagumu mbagala rangi tatu

Eti kwamba hatujawahi kualikwa birthday humu na mdada yeyote kama wafanyavyo watoto wa kishua

Eti jamani ni kweli ?
 
Kwamba kipenzi cha roho yangu Yna2 anaishi tandale kwa mkunduge au buza kwa mpalange??
 
Kwamba kipenzi cha roho yangu Yna2 anaishi tandale kwa mkunduge au buza kwa mpalange??
🀣🀣🀣🀣🀣 Huko sipo etiii...πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwa mkunduje na mpalange mweeeh....
 
🀣🀣🀣🀣🀣 Huko sipo etiii...πŸ˜‚πŸ˜‚ Kwa mkunduje na mpalange mweeeh....
Mi sitawaelewa kabisa na maneno yao... Mwandiko wako tu umekaa kimbezi beach mamiloo
 
Mi sitawaelewa kabisa na maneno yao... Mwandiko wako tu umekaa kimbezi beach mamiloo
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Wallah you made my night..😍
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Wallah you made my night..😍
Si umeona sasa mixer viinglishi... Asha wangu wa tandale yeye kiswahili tu mtihani ukijichanganya ukamwandikia kizungu basi ujiandae na kesi ya kumtukana
 
Si umeona sasa mixer viinglishi... Asha wangu wa tandale yeye kiswahili tu mtihani ukijichanganya ukamwandikia kizungu basi ujiandae na kesi ya kumtukana
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mpenzi wangu sio wa uswazi
Miss Reneee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…