Kwa mpalangeMnatuchukuliaje lakin sie wa huku mbagala rangi 3?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mpalangeMnatuchukuliaje lakin sie wa huku mbagala rangi 3?
Asha ana vurugu hatari.... Kosa dogo tu anaanza kukuchamba😂😂😂😂😂😂😂
Hii ni buza sio mbagalaKwa mpalange
Gentleman never kiss and tell.Kuna mdada mmoja humu ndani mashauzi kibao,nikaweka mtego akajaa mzima mzima,hakuna cha maisha mazuri wala nini,ana njaa hatari,ana watoto 3,mmoja yuko form three huko kwa mzazi mwenzake,ndoa yake ya pili ipo shimoni,korongoni,anapiga vizinga hatari,ana wanaume zaidi ya 5,na kila mmoja anakazi yake special,alianza biashara flani hivi,ikamshinda now anapuyanga tu! Na kuna mwana mmoja humu alishawahi mlipua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Umenikumbusha kitu
Yaani anafyatua balaa[emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nisinene saana maanaToa oda yako kwakua tunaifunga kwenye kocha ili wasisahau kwAmba inaenda uchagani[emoji23][emoji23].
Kwani Chakorii ana lipi la kusema?Izi ni tetesi tetesi tu kwamba asilimia kubwa ya wadada humu ni kutoka uswazini yaani akina mwajuma ndalandefu na chausiku.
Eti kwamba wadada wa ushuani wao ni insta na twitter ukimwambia Jf haijui,
Eti kwamba wadada wa ushuani wana vijiswaga vya kudekadeka tofauti na humu wengi ni wagumu mbagala rangi tatu
Eti kwamba hatujawahi kualikwa birthday humu na mdada yeyote kama wafanyavyo watoto wa kishua
Eti jamani ni kweli ?
Mbona wengine tupo nao huku kijijini mkuu
Tunalima uwele na mtama