Zesh
JF-Expert Member
- Apr 27, 2017
- 15,395
- 25,049
Muache ajitoe akili[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli ni kwamba,sisi ni wa uswahilini kabisaaaa..yeye mzungu arudi zake kwa malkia Elizabeth wameshaachia mipaka.
Hivi huyu mleta mada alishawahi kushambuliwa na umoja wa wanawake jamii forum(UWWJF)