Inasemekana kwamba wadada wengi wa jf ni wa uswazi

Inasemekana kwamba wadada wengi wa jf ni wa uswazi

Kuna mdada mmoja humu ndani mashauzi kibao,nikaweka mtego akajaa mzima mzima,hakuna cha maisha mazuri wala nini,ana njaa hatari,ana watoto 3,mmoja yuko form three huko kwa mzazi mwenzake,ndoa yake ya pili ipo shimoni,korongoni,anapiga vizinga hatari,ana wanaume zaidi ya 5,na kila mmoja anakazi yake special,alianza biashara flani hivi,ikamshinda now anapuyanga tu! Na kuna mwana mmoja humu alishawahi mlipua
Gentleman never kiss and tell.
 
Mbona wengine tupo nao huku kijijini mkuu

Tunalima uwele na mtama
 
Izi ni tetesi tetesi tu kwamba asilimia kubwa ya wadada humu ni kutoka uswazini yaani akina mwajuma ndalandefu na chausiku.

Eti kwamba wadada wa ushuani wao ni insta na twitter ukimwambia Jf haijui,

Eti kwamba wadada wa ushuani wana vijiswaga vya kudekadeka tofauti na humu wengi ni wagumu mbagala rangi tatu

Eti kwamba hatujawahi kualikwa birthday humu na mdada yeyote kama wafanyavyo watoto wa kishua

Eti jamani ni kweli ?
Kwani Chakorii ana lipi la kusema?
 
Back
Top Bottom