Inasemekana kwamba wadada wengi wa jf ni wa uswazi

Muache ajitoe akili[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukweli ni kwamba,sisi ni wa uswahilini kabisaaaa..yeye mzungu arudi zake kwa malkia Elizabeth wameshaachia mipaka.

Hivi huyu mleta mada alishawahi kushambuliwa na umoja wa wanawake jamii forum(UWWJF)
 
Jf kuna wanaume tu wanawakr wapo wawili tu
 
Hakuna ukweli vidada hivyo vipo facebook na instagram.
JF wakishua wewe
 
Ukweli ni kwamba,sisi ni wa uswahilini kabisaaaa..yeye mzungu arudi zake kwa malkia Elizabeth wameshaachia mipaka.

Hivi huyu mleta mada alishawahi kushambuliwa na umoja wa wanawake jamii forum(UWWJF)
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ msamehe kwa leo
 
Either ndio au sio ila Kwan uswazi sio sehemu ya kuishi au mi sijaelewa[emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…