Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Anayo degree??
 
huu uzi labda kuna mtu ameuleta kupima hisia za watu.
kwa kifupi Lukuvi ni mtu smart kwenye utendaji hata mavazi, yaani ni mtanashati wakati wote. Nilianza kumuona ni mtendaji mzuri wakati akiwa ni RC Dar Es Salaam. Anyway katiba mpya ambayo ni nzuri ndio kila kitu kwenye uchumi wa nchi yetu.
 
Anayo degree??
 
Labda agombee umiss Tanzania
 
Waarabu wana-enjoy balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…