Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Anayo degree??
Lukuvi anayo haki ya kufanya hivyo. Lakini ndani ya ccm si wanapeana miaka 10. Kama ndivyo basi mheshimiwa mama atagombea 2025. Vinginevyo labda wale WAGUMU wa kuelewa wanaosema mama anamalizia utawala wa awamu ya tano kikatiba, na baada ya hapo utaitishwa uchaguzi ndani ya chama kumchagua mgombea atakayewakilisha chama 2023 na kumpata raisi wa kuchaguliwa wa awamu ya 6.
 
huu uzi labda kuna mtu ameuleta kupima hisia za watu.
kwa kifupi Lukuvi ni mtu smart kwenye utendaji hata mavazi, yaani ni mtanashati wakati wote. Nilianza kumuona ni mtendaji mzuri wakati akiwa ni RC Dar Es Salaam. Anyway katiba mpya ambayo ni nzuri ndio kila kitu kwenye uchumi wa nchi yetu.
 
Anayo degree??
huu uzi labda kuna mtu ameuleta kupima hisia za watu.
kwa kifupi Lukuvi ni mtu smart kwenye utendaji hata mavazi, yaani ni mtanashati wakati wote. Nilianza kumuona ni mtendaji mzuri wakati akiwa ni RC Dar Es Salaam. Anyway katiba mpya ambayo ni nzuri ndio kila kitu kwenye uchumi wa nchi yetu.
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Labda agombee umiss Tanzania
 
Watu wa kusini wachangamke na wao kazi kuwa machawa tuu , wataishia kuwa mitoilet paper , Lukuvi ndo kete yao pekee iliyo na nguvu sana , tatizo yamekuwa michawa ya watu wa Pwani , tabu kabisa.... Utashangaa hata support hapewi, duniani hapa kula na wa kwenu full stop , huoni twiga wanapelekwa Kwa mjomba Omani daily , fukuza Loliondo wote wajomba wawekeze ..
Waarabu wana-enjoy balaa
 
Anayo degree??
Screenshot_20230323_122042_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom