Sang'udi
JF-Expert Member
- May 16, 2016
- 9,138
- 22,236
1999, 2000 & 2001.Bachelor degree yake ni ya miaka miwili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1999, 2000 & 2001.Bachelor degree yake ni ya miaka miwili?
'Network' ya Iringa pekee haitoshi, labda useme huo ndio mwanzo wa kazi.Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Huyu Lukuvi si ndio aliwatukana waislam Tena akiwa kanisani!?'Network' ya Iringa pekee haitoshi, labda useme huo ndio mwanzo wa kazi.
Ingawa "kura yako umekwishaiondoa,' kuna wengine watakaompa kura zao kama atakuwa na ushawishi wa kuzipata kura hizo.
Tufike mahala, kama nchi, mtu 'serious' anapoamua kuchukua uamzi wa kujitoa mbele kutafuta nafasi ya kuwaongoza waTanzania, mtu huyo apewe nafasi ya kusikilizwa, tena asikilizwe kwa makini sana anachonuia kukifanya akiwa kiongozi wa nchi hii kwa manufaa ya waTanzania
Tuachane na hizi habari za 'uchawa na asali', na mambo mengine ya aina hiyo.
Lukuvi, kama ni kweli, tunasubiri kusikia ndoto zako kuhusu Tanzania na wananchi wake.
Tutakupima kwa vigezo hivyo vya uzalendo wako kwa taifa letu.
Aliwatukana waislam wote?Huyu Lukuvi si ndio aliwatukana waislam Tena akiwa kanisani!?
Hatujasahau
Huyo haliwi hata mia na kama utakula pesa yake na usipomchagua ndio utajua hujui. Muhehe hana masihara huyo, ole wake mjumbe ule pesa yake then usimchague.Sawasawa kama ni kweli.Kila mtu huwa na ndoto zake.Mipango huanza kabla ya matumizi.Achunge wakora wasimlie mapesa yake tu.Kila penye changamoto kuna watu hupata fursa.
Haya sasa, watu kama huyu hapa..., anatoa mipasho tu, haelezi chochote!Keshaishiwa huyo hakuna anayewesa kumchagua.
Aliwatukama matusi gani? Kwa faida ya ambao hawakuyasikiaHuyu Lukuvi si ndio aliwatukana waislam Tena akiwa kanisani!?
Hatujasahau
Huyu ni STD VII halafu akaenda kuwa mwalimu wa UPE. Kisha TANU Youth League na warsha za Eastern Europe kusomea mambo ya siasa. Asijidanganye kwamba anajuwa kitu. Kilicho mfikisha hapo kuwa Waziri kwa Marais 4 ni tabia yake tu ya USNITCH au UNDUMILAKUWILI. Wasiomjua wanamuona mchapa kazi, ila tunaomjua tunasema hana loloteAmekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Kwa nini umeamua kumtweza mutwa?Huyu ni STD VII halafu akaenda kuwa mwalimu wa UPE. Kisha TANU Youth League na warsha za Eastern Europe kusomea mambo ya siasa. Asijidanganye kwamba anajuwa kitu. Kilicho mfikisha hapo kuwa Waziri kwa Marais 4 ni tabia yake tu ya USNITCH au UNDUMILAKUWILI. Wasiomjua wanamuona mchapa kazi, ila tunaomjua tunasema hana lolote
Kikatiba mtu huwezi pewa uwaziri kama hauna shahada (degree)Anayo degree??
Kifungu gani cha Katiba yetu kinaelekeza hivyo?Kikatiba mtu huwezi pewa uwaziri kama hauna shahada (degree)
Labda Yako ila Mimi akigombea nampaAmekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Amekuwa ana survive kwa kuwachoma waliokuwa mabosi wake zamani kwa mtawala mpya anapokuja. Kawachoma sana akina Lowassa, Sumaye ili kupata madaraka enzi za JK na thereafter JPM.Kwa nini umeamua kumtweza mutwa?
Afadhali kuna uhuru wakujaribu katala ila kipindi cha marehemu angeliwa kichwaAmekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!