Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Tetesi: Inasemekana Lukuvi atagombea 2025!

Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Kila mtu ana haki ya kuchagua na kuchaguliwa kufuatana na Katiba yetu,so namtakia kila la heri.Naomba tu CCM wasimbughudhi,maana wana vitimbwi kweli kweli.
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!

Sijui atapata kura ya nani!😁 labda wa imani yake na dhehebu lake kwa ujumla, kwa muislamu asitegemee kupata kura

Kama mnakumbuka maneno yake ya uchochezi dhidi ya waislamu hukoo kanisani
 
Amekuwa na network yake - kila weekend yupo Iriiiiiiiiingaaaaa! Wanayopanga ni ya mwaka 2025 ingawa hawataki mtu yeyote wasiyemjua au kumwamini afike wanapokuwa wamekaa. Tetesi ni kujiandaa kuja kugombea unamba Moja. Itakuwa nzuri sana ingawa kura yangu hapati ng'oooooooooooooooooooooo!
Research Yako imekaa njema .
 
Huyu ni STD VII halafu akaenda kuwa mwalimu wa UPE. Kisha TANU Youth League na warsha za Eastern Europe kusomea mambo ya siasa. Asijidanganye kwamba anajuwa kitu. Kilicho mfikisha hapo kuwa Waziri kwa Marais 4 ni tabia yake tu ya USNITCH au UNDUMILAKUWILI. Wasiomjua wanamuona mchapa kazi, ila tunaomjua tunasema hana lolote
Haya uliyosema hapa hayawezi kamwe kuwa ushahidi usiokuwa na mashaka kwa Lukuvi.

Umesema watu "wameona kazi zake", rekodi hiyo ipo.
Leta ushahidi unaopingana na rekodi hiyo kama unataka watu wamwone hafai.

Mtu unasema "unamjua", halafu unaishia kusema haya uliyoweka hapa juu ndiyo tuyachukulie kama ushahidi wako wa kumjua?
 
Kama ni kweli, mimi, familia yangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu tutampa kura na atashinda.

Watu wa Iringa nawakubali sana hasa kutokana na Historia yao ya kumtandika Mjerumani na kufanikiwa kumuua Emil Von Zelewisk aliyekuwa Kamanda wa jeshi la kijerumani.
 
Kama ni kweli, mimi, familia yangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu tutampa kura na atashinda.

Watu wa Iringa nawakubali sana hasa kutokana na Historia yao ya kumtandika Mjerumani na kufanikiwa kumuua Emil Von Zelewisk aliyekuwa Kamanda wa jeshi la kijerumani.


Hivi akigombea hata udiwani atashinda kweli!
 
Haya uliyosema hapa hayawezi kamwe kuwa ushahidi usiokuwa na mashaka kwa Lukuvi.

Umesema watu "wameona kazi zake", rekodi hiyo ipo.
Leta ushahidi unaopingana na rekodi hiyo kama unataka watu wamwone hafai.

Mtu unasema "unamjua", halafu unaishia kusema haya uliyoweka hapa juu ndiyo tuyachukulie kama ushahidi wako wa kumjua?
Amefanya kazi gani Lukuvi? Au unaongelea zile clips zake kwa vyombo vya habari akijifanya anatatua matatizo ya ardhi? Hamna kitu zaidi ya kujilamba midomo
 
Amefanya kazi gani Lukuvi? Au unaongelea zile clips zake kwa vyombo vya habari akijifanya anatatua matatizo ya ardhi? Hamna kitu zaidi ya kujilamba midomo
Cheki uliyoandika wewe kuhusu uchapaji kazi wake, mimi nimepitia tu humo humo sijaongeza kitu kingine chochote.
 
Huyu ni STD VII halafu akaenda kuwa mwalimu wa UPE. Kisha TANU Youth League na warsha za Eastern Europe kusomea mambo ya siasa. Asijidanganye kwamba anajuwa kitu. Kilicho mfikisha hapo kuwa Waziri kwa Marais 4 ni tabia yake tu ya USNITCH au UNDUMILAKUWILI. Wasiomjua wanamuona mchapa kazi, ila tunaomjua tunasema hana lolote
Kumbuka Jacob Zuma hakuwa na elimu lakini urais aliupata.

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 


Hivi akigombea hata udiwani atashinda kweli!

Uzuri nobody cares about that......
Akiwa anastahili atapata akiwa hastahili atakosa.
Ila sio kwa agenda zako za kidini.
Unajiskiaje kuwa mtu unayependa kutambulika kwa Dini yako popote pale Ulipo?
 
Watu wa kusini wachangamke na wao kazi kuwa machawa tuu , wataishia kuwa mitoilet paper , Lukuvi ndo kete yao pekee iliyo na nguvu sana , tatizo yamekuwa michawa ya watu wa Pwani , tabu kabisa.... Utashangaa hata support hapewi, duniani hapa kula na wa kwenu full stop , huoni twiga wanapelekwa Kwa mjomba Omani daily , fukuza Loliondo wote wajomba wawekeze ..
Kusini sawa lakini sio mhehe huwa hawana msimamo
 
Kumbuka Jacob Zuma hakuwa na elimu lakini urais aliupata.

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Wewe ni mtupu sana. Nenda tena ukasome CV ya Jacob Zuma ukaone kwa nini alifungwa jela, kwa nini aliishi uhamishoni Mizambique na role yake kwenye Umkhonto we Sizwe. Yaani unalinganisha Lukuvi mwalimu wa UPE na Jacob Zuma??
 
Back
Top Bottom