Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana Billionaire maarufu Yusuph manji yuko chini ya mikono salama huko Marekani kwa kukutwa akitumia ulevi wa madawa
Huyu ni snoop dog kabisaView attachment 1169367
Manji huyu wa Florida DOB 10/14/1975 ndio Manji wa Bongo ?...in this day and age kabla ya kuamii habari inabidi kufanya due dilligence,
Kwenye DOB kuna mashaka yapi ? Kwamba hajazaliwa 1975 au ?ila miaka kwenye DOB naona ipo different kwahio miaka hii ya leo lazima uwe Tomaso mpaka wasemaji wa Manji waseme ni yeye....kwahio hapo kwenye DOB bado kuna mashaka..., huenda wahindi wanafanana kama wachina na Wajapan...., Just Saying hii sio beyond reasonable doubts
some sources zinasema alizaliwa 18th December...Kwenye DOB kuna mashaka yapi ? Kwamba hajazaliwa 1975 au ?
Unasemaga umeishi nje halafu hata maana ya DUI hujui.,hahah haya ni maajabu aiseee.Hapo kwenye charges wanasheria tusaidieni nomeshindwa kuelewa charge Yake Ni ya Nini kiingereza Cha wamarekani nimetoka sifuri
Sijaishi marekani .watiu charge huandika kirefu for everybody to know .Sio Kifupi fupi hivyoUnasemaga umeishi nje halafu hata maana ya DUI hujui.,hahah haya ni maajabu aiseee.
ugoro nayo inalevya ofisa!...ila nishakupata...je ramli zako zinasemaje ni kweli au uongo?Madawa ya kumlevya
hahaha!kumbe ni kweli nilijua wanawasingizia!Ndio hiyo teh teh teh.