Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Hawa Ng'humbi hajawahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii
 
Yes alikuwa anatafuta sababu ya kutumuliwa,ni dhahiri ana mipango yake
Hapo kwa mwenyekiti anaeona mbali asingemtimua angempa cheo chochote juu kucheza na beat lake, ila kumfukuza naona ndio wamechemka
Kwani kishafukuzwa?
 
Dah.... Huyu mtoto wa kimakonde?[emoji15] [emoji15]
 
Nape alikuwa mwanzilishi wa CCJ hivyo siyo mgeni katika uasi. Katika hili, tangu mwanzo alijua na alizungumzia hadharani yatakayompata pale alipokataa hadharani 'ubashite' kwenye tasnia anayosimamia. Kwa msimamo aliwavutia raia wengi. I am sure he will not regret his expulsion from ccm. Pengine hata atafurahia kufukuzwa kwani atakuwa huru zaidi 'to take the bull by the horns'.
 
unafikiri JK angepanick ule mchakato pale Dodoma ungeisha salama??..
Watu waliimba lakini siuliona alivyoovercome ile pressure kwa kughairisha kikao..
Mbona ilikuwa disaster tupu,unafiki ulimgharimu.
Yeye alikuwa na mdogo wake Membe ili watengeneze ufalme kama Korea Kaskazini.
Kwa ujinga au kwa kiburi fake akajikuta amekwaa kisiki,Team Lowassa wakapiga kura za chuki,ndio mnamuona Magu.Na kuna siku Magu atawatolea uvivu.
 
Kama ni kweli muda si mrefu utasikia cdm wanaanza kumsafisha kwa madodoki kuwa hakuhusika kwa lolote kufanikisha bunge live kutokomea kusikojulikana
Ni kwel ausiki mana ye anapokea oda kwa boss wake na kusimamia itekelezwe kama dereva wa gari ya mbowe ruksa inatoka ikulu kwa mnene
 

kama unakaa unasubiri hilo litokee utapoteza muda ndugu yangu, sasa aliyepoteza nani hapo.. Jk amekuwa Rais kwa 10 yrs na amemaliza muda wake amejiondokea. Huwezi kumlazimisha Jk amepende upande unaopenda wewe, kama binadamu naye ana choice yake na labda kama unavyosema ni kweli basi choice yake ilikuwa Membe na si huyo uliyempenda wewe..
 
Nape siwezi msamehe kwa alivyochangia kutufikisha Hapa

1.Mfungaji wa goli la mkono

2.Kashiriki kuzuia bunge live

3.Sheria kandamizi ya vyombo vya habari

4.Kashiriki kikamilifu kuchonga kinyago cha mpapure na kukiweka sebuleni
Ngoja kwanza wengi atutamsamehe tupate uakika anaweza pewa warning [emoji615] tu c unajua wale wanamapepe kweny maamuzi
 
Usiri umetawala....nawaona mnatapatapa na story zenu za kutunga kama kawaida yenu.
 
Kuna watu wanahitimu na kuna wale wanasindikiza wahitimu ila wao hawahitimu,ni bora ukatumia mantiki na kupunguza muda wa hasara.
 
kwa kosa lipi? waanze na chenge ndio nitawaelewa
 
Hicho ni chama cha wanaokubaliana kwa kila kitu (Yesmen Political Party). Ukipenda uhuru wa maoni ni lazima ukimbie huko, la watakufurusha.
 
Ni vigumu ku-join pieces na kupata jibu hasa ilikuwaje Nape akawa so famous CCM.Mambo mengine ni kitendawili tega.Alibebwa?God knows.
 
Hivi ni kweli wana kaya hii KUNA AMBAYE HAJUI KOSA LA NAPE NA KWA SASA NYARANDU .BASI HUYO YUKO NCHI NYINGINE .
 
Nape akifukuzwa CCM Ndo ameisha kisiasa kabisa. Hata huyo Lazaro ni mwepesi sana kisiasa. Ni muumini wa kununua kura kuliko siasa za ushawishi.
 
Hivi ni kweli wana kaya hii KUNA AMBAYE HAJUI KOSA LA NAPE NA KWA SASA NYARANDU .BASI HUYO YUKO NCHI NYINGINE .
Kwani ana kosa gani mkuu na sisi tufahamu, ama kutoa maoni yako ni kosa siku hizi?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…