Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Kubakia kwenye sekretarieti haimaanishi yeye ndiyo kiongozi wa sekretarieti! Chadema bhana ndio maana Mbowe kahamia Nairobi kunywa " uji" na mgonjwa maana kina Allen ni wagumu kuelewa!!!
Ulitaka mpate upenyo wa kummalizia Lisu pole sana Nairobi sio Mwaisela
 
Nauliza tu maana wakati wa mapokezi ya Lowassa ilibidi kumtoa kafara mgombea urais mtarajiwa Dr Slaa ili kukidhi matakwa ya laigwanan, je pale Mtama itakuwaje nasikia kuna jamaa anaitwa Suleiman ambaye aliwahi kutupwa jela akiitetea Chadema. Je Suleiman atakatwa ili kumpokea Nape?!
 
Mara paaaaaa.......Tupo tyari kumpokea kwa mikono yote.

CDM hatuna chuki, visasi na tunasamehe na kusahau. Duniani tunapita tu.
 
Katika siasa hakuna uadui mkuu,kwa wale wa mambo yetu wanasema haina makombo kila sehemu unaweza pita.
[HASHTAG]#NiacheKidogo[/HASHTAG]
 
Atapokelewa kwani CHADEMA kuna kitu huwa wanaaacha, hata hivyo vyama vya siasa havipaswi kuwakataa wanachama wenye nia ya kujiunga
 
mzee wa bao la mkono,Edo ni mgonjwa na No TV laivu. hivi vyote inabidi akili hadharani na aombe radhi watanzania wote.
 
Nauliza tu maana wakati wa mapokezi ya Lowassa ilibidi kumtoa kafara mgombea urais mtarajiwa Dr Slaa ili kukidhi matakwa ya laigwanan, je pale Mtama itakuwaje nasikia kuna jamaa anaitwa Suleiman ambaye aliwahi kutupwa jela akiitetea Chadema. Je Suleiman atakatwa ili kumpokea Nape?!
Jpm ameamuru madiwani wa cdm waliohamia ccm waachwe wagombee kupitia ccm!!!!!
 
kumbuka ata methew alikuwa ccm tukampokea chadema aiwezi kumkataa mwanachama yoyote kama kanisa au msikiti ambavyo aukatai waumini lengo letu ni kushika dola
 
Nauliza tu maana wakati wa mapokezi ya Lowassa ilibidi kumtoa kafara mgombea urais mtarajiwa Dr Slaa ili kukidhi matakwa ya laigwanan, je pale Mtama itakuwaje nasikia kuna jamaa anaitwa Suleiman ambaye aliwahi kutupwa jela akiitetea Chadema. Je Suleiman atakatwa ili kumpokea Nape?!
Tulia Ccm iwafie mikononi maana mmelikoroga wenyewe,na hakuna dhambi Nape akihamia cdm
 
Atapokelewa kwani CHADEMA kuna kitu huwa wanaaacha, hata hivyo vyama vya siasa havipaswi kuwakataa wanachama wenye nia ya kujiunga
Kama Ccm wanavyofanya Biashara ya madiwani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom