Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni kweli basi CCM NI KAMA MNARA WA BABELI, freedom is coming soon in Tanzania
ukalale bwana, wapi huko ambako hamlaliWhen one door is closed,other is open.ajiongeze tu.
Hivi pamoja na kumuita MZEE wenu Maiti na akasema Maiti haiwezi kwenda Ikulu bado Nape ni rafiki yenu? Nape ndo aliyepeleka mswaada was kuzuia binge Live, Nape ndo aliyepeleka mswaada wa waandishi wrote wa habari wawe na degree
Siasa ni mchezo wa kutafuta njia,kama njia ipo ni kupita tu,nenda kenya ukaoneNape " Lowasa ni sawa na Maiti haiwezi kwenda Ikulu" Huyo ndo amekuwa bora huko kwenu CHAGADEMA
Tuma hapa hizo screenshotHii habari imeandikwa masaa yamepita sasa na watu.. na majina yao yanazurura kwa screenshots Whatsapp..
Hoja dhaifu kabisa hii!!So toka chadema kianze hakuna aliyewah pinga au HOJI fikra za mwenyekiti?je matokeo yalikuaje?
Hahaha hapana bhana Nape hahusiki na Albadiri au umekusudia kuawadhuru wenye nyumba?......
.....Kisomo
Ni dhaifu coz imegusa chama pendwa.Hoja dhaifu kabisa hii!!
Kweli kabisa mnara wa ile babeli ya clock towerKama ni kweli basi CCM NI KAMA MNARA WA BABELI, freedom is coming soon in Tanzania
Mkuu sio CCM tu,ni chama chochote kile huwezi baki salama kama unapingana na FIKRA za mwenyekiti tena waziwazi na kwa kejeli na quotes za mipasho kwenye social networks. Tuliona akina zito,tukaona kafulila hata ACT yenyewe hakuna anayeweza kuwa juu ya FIKRA za zito akabaki salama,kwani Lucas limbu yuko wapi?Msiongee tu kwa sababu yanayotokea CCM na anayeyafanya anatimiza matamanio ya upinzan,EBU MCHUKUE NAPE MWEKE CHADEMA afu ndo angekua anafanya haya anayofanya.Je angebaki salama?SO NAPE ANA UHALALI KABISA NA NI HAKE YAKE KUFUKUZWA UANACHAMA na kama anaakili inatakiwa ajitoe mwenyewe.Kama ni kweli basi atakuwa anatengenezea himaya ambayo hatakuwa na mpinzani nje na ndani.
Challenges zipo kwa ajili ya kupima ubora wetu. Ndio maana shule kuna mitihani, walimu wa nidhamu n.k
Sisi wabeba box kazini huwa tuna puch card. Ukichelewa dakika kumi basi unakatwa 30 au saa nzima kwenye malipo yako. Vitu kama hivi vinakufanya uwe punctual.
Sasa mkuu ujibuji wake hoja ndio huu basi, mengi makubwa na magumu yanakuja.