Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Hivi pamoja na kumuita MZEE wenu Maiti na akasema Maiti haiwezi kwenda Ikulu bado Nape ni rafiki yenu? Nape ndo aliyepeleka mswaada was kuzuia binge Live, Nape ndo aliyepeleka mswaada wa waandishi wrote wa habari wawe na degree
 
Nape " Lowasa ni sawa na Maiti haiwezi kwenda Ikulu" Huyo ndo amekuwa bora huko kwenu CHAGADEMA
 
Hivi pamoja na kumuita MZEE wenu Maiti na akasema Maiti haiwezi kwenda Ikulu bado Nape ni rafiki yenu? Nape ndo aliyepeleka mswaada was kuzuia binge Live, Nape ndo aliyepeleka mswaada wa waandishi wrote wa habari wawe na degree

Mkuu ndo ukumbuke siasa hazina adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu
 
Nape " Lowasa ni sawa na Maiti haiwezi kwenda Ikulu" Huyo ndo amekuwa bora huko kwenu CHAGADEMA
Siasa ni mchezo wa kutafuta njia,kama njia ipo ni kupita tu,nenda kenya ukaone
 
Wanataka kutuhamisha kwenye swala zima la LISU wetu hawa jamaa wabaya sana. Nchi yaendeshwa kwa kiki
 
Kuna orodha ya watu wanaompinga Bashite chini chini,hawa nao wanajulikana na muda wowote kabla ya uchaguzi watang'olewa ccm.
Kuna wengine hata huwezi kuamini mf Job Ndugai,anajiamini sana Leo lakini atapoteza karata yake moja muhimu na mwisho wake utakuwa umewadia.Hakuna jiwe litakalobaki juu ya jiwe.Muda utasema.Kuna wale wanaohipendekeza sasa,lakini bahati mbaya watafukuzwa ccm dakika za majeruhi.
Kumbukeni kwamba,wale wote wanaoanzisha bifu na bashite,wale wanaoshindwa kutetea maslahi ya wananchi na badala yake wanatetea chama,ni sawa na mtu aliyeambiwa asikimbie, akimeza nchale, akitema chale,Hanna pa kuponea mnapumulia mashine.
 
Kama ni kweli basi atakuwa anatengenezea himaya ambayo hatakuwa na mpinzani nje na ndani.

Challenges zipo kwa ajili ya kupima ubora wetu. Ndio maana shule kuna mitihani, walimu wa nidhamu n.k

Sisi wabeba box kazini huwa tuna puch card. Ukichelewa dakika kumi basi unakatwa 30 au saa nzima kwenye malipo yako. Vitu kama hivi vinakufanya uwe punctual.

Sasa mkuu ujibuji wake hoja ndio huu basi, mengi makubwa na magumu yanakuja.
Mkuu sio CCM tu,ni chama chochote kile huwezi baki salama kama unapingana na FIKRA za mwenyekiti tena waziwazi na kwa kejeli na quotes za mipasho kwenye social networks. Tuliona akina zito,tukaona kafulila hata ACT yenyewe hakuna anayeweza kuwa juu ya FIKRA za zito akabaki salama,kwani Lucas limbu yuko wapi?Msiongee tu kwa sababu yanayotokea CCM na anayeyafanya anatimiza matamanio ya upinzan,EBU MCHUKUE NAPE MWEKE CHADEMA afu ndo angekua anafanya haya anayofanya.Je angebaki salama?SO NAPE ANA UHALALI KABISA NA NI HAKE YAKE KUFUKUZWA UANACHAMA na kama anaakili inatakiwa ajitoe mwenyewe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom