Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Tetesi: Inasemekana Nape Nnauye kavuliwa Uanachama wa Chama cha Mapinduzi..

Status
Not open for further replies.
Kuna tetesi japo siziamini, kwamba kwenye listi ya waliofukuzwa, mbali na Nape, kuna Bashe, Dialo, Msukuma, Ngeleja na Nyalandu.

Halafu eti kuna waliopewa onyo ambao ni mstaafu JK, Ridhiwani, na Membe.

Ila sijaamini ndo maana hata uzi sikuanzisha wala nini. Let's wait and see...
JK kweli warned, dont make no sense
 
Mh! Kama hii ni kweli subiri vita dhidi ya huyu dhalimu itakavyoshamiri ndani ya CCM. Hao ambao ni Wabunge kama kweli wametimliwa chamani basi si Wabunge tena.

Kuna tetesi japo siziamini, kwamba kwenye listi ya waliofukuzwa, mbali na Nape, kuna Bashe, Dialo, Msukuma, Ngeleja na Nyalandu.

Halafu eti kuna waliopewa onyo ambao ni mstaafu JK, Ridhiwani, na Membe.

Ila sijaamini ndo maana hata uzi sikuanzisha wala nini. Let's wait and see...
 
Kama ni kweli itakua ni moja ya maamuzi sahihi ambayo chama kimeyafanya.

Kama ni kweli basi atakuwa anatengenezea himaya ambayo hatakuwa na mpinzani nje na ndani.

Challenges zipo kwa ajili ya kupima ubora wetu. Ndio maana shule kuna mitihani, walimu wa nidhamu n.k

Sisi wabeba box kazini huwa tuna puch card. Ukichelewa dakika kumi basi unakatwa 30 au saa nzima kwenye malipo yako. Vitu kama hivi vinakufanya uwe punctual.

Sasa mkuu ujibuji wake hoja ndio huu basi, mengi makubwa na magumu yanakuja.
 
Sitaki kuandika maneno mengi ila nitaomba jambo moja tu lifanywe na mh. Nape pale utakapo fukuzwa chama cha Mapinduzi, nalo ni kuunda chama cha siasa.

Nakuhakikishia ukijipanga vizuri tupo vijana wengi tutakuwa na wewe bega kwa bega kujenga chama chetu kutoka vumbini mpk juu kwenye neema.

Narudia haya maneno nchi hamna chama chenye dhamira na mkakati kabambe wa kuiondoa ccm zaidi wamekaa kimkakati kujinufaisha wao kwa wao.

Tafuta vijana tena wasomi tumekwama kwenye mifumo kandamizi tunahitaji kuonesha hasira zetu juu ya hawa wakoloni weusi.
 
Nape ni kitu kingine....sio wa kumuamini kabisa....huyo na yule nya' nani sijui ni watu wa kitengo ,hiyo ni safari ya kumaliza wapinzani....
 
Kwani hawezi piga lile bao lake la mkono akabaki vcm?
 
Naona watu tunachelewa sana 'kuusoma mchezo' wa awamu ya 5. Nape hawezi kushinda hata akiwa na kura nyingi kuliko wapinzani wake. Anayehesabu kura na kutangaza mshindi anajulikana. Akivuliwa uanachama, asahau ubunge ktk awamu ya 5.
Una akili sana. Kati ya comments zote hii ndiyo comment ya mwenye akili
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom