jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Ni kweli mkuu. Sikuona uwezekano wa mwenyekiti mstaafu eti kupewa onyo.Hilo la onyo inadhihirisha taarifa uliyoipata ina ukakasi bora hukupandisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli mkuu. Sikuona uwezekano wa mwenyekiti mstaafu eti kupewa onyo.Hilo la onyo inadhihirisha taarifa uliyoipata ina ukakasi bora hukupandisha
Huyo jamaa yupo ufipa anapika stori zake za vijiweni.VUTA-NKUVUTE , uko wapi?, Dodoma ama Dar (Ikulu)?,
hebu tupe Nyepesi nyepesi,
sisi wenye wasiwasi
Ili zipoe Nafsi
Kitoka ktk hizi tetesi
JK kweli warned, dont make no senseKuna tetesi japo siziamini, kwamba kwenye listi ya waliofukuzwa, mbali na Nape, kuna Bashe, Dialo, Msukuma, Ngeleja na Nyalandu.
Halafu eti kuna waliopewa onyo ambao ni mstaafu JK, Ridhiwani, na Membe.
Ila sijaamini ndo maana hata uzi sikuanzisha wala nini. Let's wait and see...
Ni marufuku kumpinga Mbowe.Hata kumpinga mbowe
Kuna tetesi japo siziamini, kwamba kwenye listi ya waliofukuzwa, mbali na Nape, kuna Bashe, Dialo, Msukuma, Ngeleja na Nyalandu.
Halafu eti kuna waliopewa onyo ambao ni mstaafu JK, Ridhiwani, na Membe.
Ila sijaamini ndo maana hata uzi sikuanzisha wala nini. Let's wait and see...
Kama ni kweli itakua ni moja ya maamuzi sahihi ambayo chama kimeyafanya.
Sitaki kuandika maneno mengi ila nitaomba jambo moja tu lifanywe na mh. Nape pale utakapo fukuzwa chama cha Mapinduzi, nalo ni kuunda chama cha siasa.
Nakuhakikishia ukijipanga vizuri tupo vijana wengi tutakuwa na wewe bega kwa bega kujenga chama chetu kutoka vumbini mpk juu kwenye neema.
Narudia haya maneno nchi hamna chama chenye dhamira na mkakati kabambe wa kuiondoa ccm zaidi wamekaa kimkakati kujinufaisha wao kwa wao.
Tafuta vijana tena wasomi tumekwama kwenye mifumo kandamizi tunahitaji kuonesha hasira zetu juu ya hawa wakoloni weusi.
Vp kuhusu Bashe na Msukuma?Wamepona?Bangi za usiku hizi muwe mnavuta kwa makalio maybe zitawaingia vizuri Shubamit nyie
Tusidanganyane, huyo jamaa ni asset.Kama ni kweli akija ukawa wamkatae maana ni makapi!
Msingemtuma yule jamaa amshike kiuno. The other day....cc hamorapaSiyo rahisi.Nape mtu muhimu sana kwenye Chama chetu
Kusubiri " SANA" kunaweza kuwa ni baada ya siku 100 . . , au miaka 2 au miaka 100 . . ?!Kuhusu freedom tutasubiri sana
Huyo jamaa yupo ufipa anapika stori zake za vijiweni.
Amerudi Kibiti, taarifa za Dodoma amesema atakabidhi kwenye mamlaka husikaVUTA-NKUVUTE , uko wapi?, Dodoma ama Dar (Ikulu)?,
hebu tupe Nyepesi nyepesi,
sisi wenye wasiwasi
Ili zipoe Nafsi
Kitoka ktk hizi tetesi
Una akili sana. Kati ya comments zote hii ndiyo comment ya mwenye akiliNaona watu tunachelewa sana 'kuusoma mchezo' wa awamu ya 5. Nape hawezi kushinda hata akiwa na kura nyingi kuliko wapinzani wake. Anayehesabu kura na kutangaza mshindi anajulikana. Akivuliwa uanachama, asahau ubunge ktk awamu ya 5.