Gwamahala
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 3,925
- 2,325
Sasa JK hata akiwa warned itasaidia nini? Huyu Sizonje anaendekeza mabifu yasiyo na kichwa wala miguu...anyway ndiyo vizuri lakini ili wauwane wao kwa wao!JK kweli warned, dont make no sense
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa JK hata akiwa warned itasaidia nini? Huyu Sizonje anaendekeza mabifu yasiyo na kichwa wala miguu...anyway ndiyo vizuri lakini ili wauwane wao kwa wao!JK kweli warned, dont make no sense
Yaani tumsaidie zitto? Apambane na hari yake, nayeye siku akitemwa na ccm ndio atalijua jiji.Mmmh ACT hii hii ya wakuu wa mikoa? Zitto huwa haeleweki mkuu! kwa hilo hapana kabisa.
Mnafiki wewe I can't stand u
PutoSit down then....beyooch.
Ukawa sio vyama viwili hata kama ingekuwa viwili bado kuna cuf 2 kwahiyo ukawa ingekuwepo tuMkuu Ukawa haipo maana Cuf mpaka sasa haijulikani kama ni jua au mwezi.
PutoPuto
Hilo ni dhahili kabsa na tutarajie mambo kama hayo sehemu nyingi nchiniNaona watu tunachelewa sana 'kuusoma mchezo' wa awamu ya 5. Nape hawezi kushinda hata akiwa na kura nyingi kuliko wapinzani wake. Anayehesabu kura na kutangaza mshindi anajulikana. Akivuliwa uanachama, asahau ubunge ktk awamu ya 5.
Tusidanganyane, huyo jamaa ni asset.
Ana kundi kubwa sana la wanachama wa CCM watakao msapoti
Ila Mimi huwa nawashangaa sana wanaomtetea NAPE labda kwa kuwa hapa mwisho alianza kujielewa Na kuwa upande wa wananchiKosa la kumpiga vijembe mungu wa chama na nchi kwenye mitandao.
Cool down broUnanijua wapi pimbi wewe! MAZWAZWA ndivyo mlivyo kurukia watu msiowafahamu.
Ukweli ni UPI?Hizo habari sio za kweli, hawawezi kumfukuza Nape.