DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Usorelse
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeniacha hoi mkuuNahisi hizi habari sio tetezi tena nimeona kwenye group fulani la wanaccm linazungumzia habari hii kwa kirefu sana tusubili tu POLEPOLE aje na manenoyake ya kiswahili
Zitto mtu mzito CDM alifukuzwa, wewe Bavicha unayenunuliwa viroba thubutu kumpinga Mbowe au kuhoji fedha mlizomchangia Lissu zimetumikaje uone..Sasa kama Nape the front liner anafanywa hivi na CCM, wewe kenge wa kawaida unayelipwa buku 7 per thread utafanywa nini kama sio kufukuzwa kwenye chama na kuliwa kiboga juu??
Akili kumkichwa.
Yaaah kweeeliii!
!
Acha wafu wazikane
Kuna tetesi lakini siziamini, kwamba kwenye listi ya waliofukuzwa, mbali na Nape, kuna Bashe, Dialo, Msukuma, Ngeleja na Nyalandu.Kuna habari zinazagaa huko FB kua kuna impacts ya kikao cha Leo embu mwenye Uzi wa maana aulete hapa pliz
Oil chafu inatumika?[emoji13] [emoji12]Chadema tutamsajili. Baada ya kumfanyia ubatizo wa maji mengi kuondoa uchafu aliokuwa nao akiwa ccm
Bagamoyo au mtamaLet's wait, akaunti iliyoleta tetesi nilishawahi kuhisi inatumiwa na aliyekuwa anaitwa Tandale one ambaye ni mbunge wa sasa kwenye jimbo alilokuwepo jamaa mmoja aliyekuwa anafananishwa na jakaya
Namaanisha January Makamba...bado una swali kujua yupo wap?
Hii habari imeandikwa masaa yamepita sasa na watu.. na majina yao yanazurura kwa screenshots Whatsapp..
read btn lines! andika yake tupu ht heading ni shiiiiida
Hilo la onyo inadhihirisha taarifa uliyoipata ina ukakasi bora hukupandishaKuna tetesi lakini siziamini, kwamba kwenye listi ya waliofukuzwa, mbali na Nape, kuna Bashe, Dialo, Msukuma, Ngeleja na Nyalandu.
Halafu eti kuna waliopewa onyo ambao ni mstaafu JK, Ridhiwani, na Membe.
Ila sijaamini ndo maana hata uzi sikuanzisha wala nini. Let's wait and see...