Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa Nghumbi alishindana na Nape Nnauye kwenye kura za maoni jimbo la ubungo akamshinda Nape, alipokuja kwenye uchaguzi mkuu Hawa akapigwa chini na Mnyika.Hawa Ng'umbi hajawahi kuwa waziri wala hajawahi kushindana na nape, nadhani unamuongelea shamsa mangunga
Mkuu BAK huyo anakutafutia ban tuuu.....Unanijua wapi wewe! ndivyo mlivyo kurukia watu msiowafahamu.
Kweli kabisa Kati ya watu walojitahid ccm irud madarakan nape no.mojaAlizunguka kumtukana mzee wa Monduli kumleta asie jaribiwa sasa kama ni kweli jamaa wa magogoni hana muda. Maana NAPE alipambana mno
Mkuu BAK huyo anakutafutia ban tuuu.....
Anataka "uhamaki" ili akuripoti......
Tupe ubuyu basi[emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6] [emoji6]Nahisi hizi habari sio tetezi tena nimeona kwenye group fulani la wanaccm linazungumzia habari hii kwa kirefu sana tusubili tu POLEPOLE aje na manenoyake ya kiswahili
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Sasa hilo ndo kosa jmn kama ameulizwa asisemeeeeAliskika juzi akidai watu wa jimboni kwake wanauliza bombardier ndiyo nin?
Kama unajisikia kuwashwa ingia ulingoni,tumeona wangapi au tumeshuhudia wangapi?Hilo ndio kosa letu Watanzania.
Katokea mtu ana challenge utawala, mnamshauri akae kimya??
Kuna ubaya gani mtu ukihoji kuhusu rasimali za wengi??
Mnataka aishi maisha ya kinafiki kusifia ambacho anaona sio sawa kwa mtazamo wake??
Some are more equal than others.gerge orwell aliona mbali.
somebody in this country thinks he knows everything
Kama unajisikia kuwashwa ingia ulingoni,tumeona wangapi au tumeshuhudia wangapi?
Oscar Kambona,Tumtemeke Sanga,Kassim Hanga,Kassanga Tumbo,Choga,Kaneno,Aboud Jumbe,Horice Kolimba,Mama Simba na wengine wengi.
Basi ajiandae kurudi kijiwenihakuna cha kujishusha huu ndu upumbafu unaofanya mpaka sasa tz imeoza lazma ukweli usemwe hii nchi ni ya watanzania si ya hili genge la wahuni akiwemo huyu makonde ndani
Mbona mapema sana mkuuNgoja nifungue Whisky!
Hata hiyo 2015 inadaiwa ni chama kilimbeba huenda alipita kwa goli la mkono..Nape bila ccm hana ujanja wowote, Ndo kifo chake kisiasa. Na akigombea Tena atapigwa vibaya sana Jimbo lá Mtama.
aisee hawez kurudi kijiwe chochote muwe mnajitofautisha nyie wana lumumba mnaokaa kwenye korido naBasi ajiandae kurudi kijiweni
KabisaShukrani Mkuu lakini wapumbavu kama huyu ukiwaachia wanapanda mzuka Mkuu. Bora kuwapa za uso tu kama mbwai iwe mbwai.