Inasemekana Rais kajifungia usiku mzima akichekecha wapigaji. Tutarajie mkeka wakati wowote kuanzia leo

Inasemekana Rais kajifungia usiku mzima akichekecha wapigaji. Tutarajie mkeka wakati wowote kuanzia leo

Michael Uledi

Senior Member
Joined
Mar 29, 2023
Posts
132
Reaction score
323
Usipomwelewa Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?"

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
 
Hiyo mikeka haina jipya, sasa imekuwa too much, ni sawa na kutoa wezi walioshiba wakapumzike nyumbani badala ya kuwapeleka mahakamani, halafu tunawekewa wezi wenye njaa nao watupige, nasi tutawajadili wiki nzima, kisha tunasahau yote kwenye ripoti ya CAG mpaka next year tukipigwa tena ndipo akili zitaturudia!
 
Usipomwelewa Mh Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?".

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.
Ameenda zake fungate huko unafikiri nani anashida na linchi lenu
 
Hiyo mikeka haina jipya, sasa imekuwa too much, ni sawa na kutoa wezi walioshiba wakapumzike nyumbani badala ya kuwapeleka mahakamani, na kutuwekea wezi wenye njaa nao watupige, nasi tutawajadili wiki nzima, kisha tunasahau yote kwenye ripoti ya CAG mpaka next year tukipigwa tena ndipo akili zitaturudia!.
Wizi wizi wizi juu ya wizi
 
Tul8mwambia avunje serikali aynde ya kwake, aachane na serikali ya kurithi hakutusikia.

Baada ya uchaguzi ndani ya Chama kukamilika akatupanga kuwa sasa anaenda kuisuka serikali yake.
Watu wakssubirii wee, kuja kutoa pdf, eti kagusa wakuu wa wilaya tu.

Yaani ni kaona hapa mama kweli ametuweza, yaani wezi kawamwagia shombo la samaki ili wakaliwe na paka
 
Awachukulie hatua ili iwe mfano kwa wale wajao,afanye yale ambayo hata mwenda zake yalimshinda, kwani hakuwahi kuwachukulia hatua watu wezi bali aliwahamisha au kuwapumzisha, Dr. Samia awachukulie hatua stahili na si kuwaondosha tu,haitoshi. Ikibidi warudishe fedha hizo.
 
Hiyo mikeka haina jipya, sasa imekuwa too much, ni sawa na kutoa wezi walioshiba wakapumzike nyumbani badala ya kuwapeleka mahakamani, na kutuwekea wezi wenye njaa nao watupige, nasi tutawajadili wiki nzima, kisha tunasahau yote kwenye ripoti ya CAG mpaka next year tukipigwa tena ndipo akili zitaturudia!.
Boss, watakao Kuja kama kweli Hao watakuwa mchwa kweli kweli, maana naona kama safu yoteee huko manuu wanashindana kumiliki yutong, na howo. Weka akilini TRC no more safaris, abiria watagombea mabasi Ile hakuna, mizigo ndiyo usiseme. Barabara nyingi zinanengwa mikoani, vituo vya mafuta lazima visimikwe kama uyoga.
 
Back
Top Bottom