Inasemekana Rais kajifungia usiku mzima akichekecha wapigaji. Tutarajie mkeka wakati wowote kuanzia leo

Inasemekana Rais kajifungia usiku mzima akichekecha wapigaji. Tutarajie mkeka wakati wowote kuanzia leo

Usipomwelewa Mh Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?".

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
...mimi sio VICAL
...ile mtupishe sio ya BULE BULE, TUSUBULIE
...POLI la Halmashauri
...NAAMA Nchi

Mkuu, ungetulia ukaandika vizuri, ungeeleweka tu. Sio kwa haraka hizi na utumbo huu uliouandika. Ulikuwa unakimbilia wapi??
 
Ripoti za cag hazina mvuto Tena kila zinaposomwa zinaleta taharuki halafu baada ya muda kimya business as usual.

Hata hili litapita tu.

Nilichogundua hawa wezi wa serikalini ni wajanja sn kabla hawajatuibia huwa wanajipanga sn kuanzia ofisini mpaka mahakamani ndio kusema kwamba Mara nyingi serikali inaogopa kuwachukulia hatua kuwashitaki mahakamani maana huko serikali ikijichanganya inamlipa na fidia mwizi wetu.

Hii hupelekea kila ripoti za cag zikisomwa na wezi kufahamika lkn hatua hazichukuliwi.
 
Hana maamuzi magumu huyo.
Usipomwelewa Mh Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?".

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
 
Watu kama hao ni kuwafilisi mpaka vijiko kisha kuwafunga jela maisha...
 
Kwani amesema kuwa zimelipwa? Anasema walimletea invoice. Inaonekana amekataa kuipitisha.
Broo kuitoa fedha ya umma ni ngumu sn ina chain ndefu sn, lakini how zinaibajwe? hiyo invoice mpk inafika kwake CEO/KM/Waziri/TISS/TAKUKURU walikuwa wapi?
 
Utumishi wanatakiwa ajira zisiwe za kudumu, hilo ndo suluhisho watu kazi zitangazwe na mikataba husika, ukishindwa unapigwa pembeni
 
Hayawezi kufanyika malipo makubwa hivyo bila baraza la mawaziri kujua ni uongo wa wazi
Basi kuna mtu tu anataka amtoe huko juu ili kuhalalisha rasmi kifo cha shirika.

Maana huyu mama ukiona anampamia mtu ujue ameshapewa maelekezo toka juu.

Huko nishati ambako takukuru wamenusuru billioni zaidi ya 500 mbona hajapiga kelele anakuja kupigia kelele bilioni 50?

Muongo huyu mama. Yawezekana aliwekewa kigingi juu ya kuliua shirika kwa hiyo anataka amtoe mtu kafara ili kuzika rasmi shirika. Ila ayafanyayo leo juu ya taifa hili ajue yataandama kizazi chake chote mpaka akhera.
 
Usipomwelewa Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?".

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
Mtaalamu wa mawasiliano unayeandika "naama" badala ya "nahama", umeondoa utamu wote wa njonzi yako.
 
😂😂😂 Dah kwahio unahisi hajalala leo umeshirikisha ubongo na tumbo mkaamua muone hajalala leo
 
Mawaziri wengi wanatumia nguvu za giza siyo rahisi kuwatoa
Kwa hiyo unakiri kabisa kuwa nguvu za giza zina nguvu kweli kiasi hicho!!!???

Basi tupishwe sisi tunaoamini katika nguvu ya Mungu na Yesu Kristo tuongoze bila hofu ya kuzidiwa kete na nguvu hizo za giza.
 
Basi kuna mtu tu anataka amtoe huko juu ili kuhalalisha rasmi kifo cha shirika.

Maana huyu mama ukiona anampamia mtu ujue ameshapewa maelekezo toka juu.

Huko nishati ambako takukuru wamenusuru billioni zaidi ya 500 mbona hajapiga kelele anakuja kupigia kelele bilioni 50?

Muongo huyu mama. Yawezekana aliwekewa kigingi juu ya kuliua shirika kwa hiyo anataka amtoe mtu kafara ili kuzika rasmi shirika. Ila ayafanyayo leo juu ya taifa hili ajue yataandama kizazi chake chote mpaka akhera.
Huyu maza tuache utani alifit sn kwenye nafasi ya makamu lakini siyo hii ya Rais inataka roho mgumu haswa, malipo yote yanafanyikia BOT, inakuwaje yeye asijue kama siyo usanii? hakuna wizara zinapiga pesa kama nishati, maji, afya na ujenzi lakini huko yupo kimya sababu ni waislamu wenzake
 
Utumishi wanatakiwa ajira zisiwe za kudumu, hilo ndo suluhisho watu kazi zitangazwe na mikataba husika, ukishindwa unapigwa pembeni
Mkuu, Ngoja nipate Ukurugenzi kwenye huu mkeka mpya. Hilo suala tutalipambania lieleweke, ajira ziwe temporary na watu walipwe kwa commission, yaani ulipwe kwa matokeo ya kazi uliyofanya. Sio kulipana mishahara ili mradi tu mwisho wa mwezi umefika.
 
Msitusumbue, sisi tuko bize na ushoga kwa sasa, hayo mambo ya CAG yanatuhusu nini!

Tumepanga kuandamana ili kuishiniikiza serikali ya Tanganyika ianzishe mahakama maalumu ya mabwabwa.

Hii itasaidia sana kupunguza ulaji wa tigo nchini.

Wote tuamke tupambane ili tupate hii mahakama, tusiache kulalamika na kuonyeshe hisia kali za uchungu na makasiriko. IKO WAPI SERIKALI, tunataka mahakama ya MABWABWAAA JAMAANIIII [emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji2962][emoji2962]
 
Back
Top Bottom