Inasemekana Rais kajifungia usiku mzima akichekecha wapigaji. Tutarajie mkeka wakati wowote kuanzia leo

Inasemekana Rais kajifungia usiku mzima akichekecha wapigaji. Tutarajie mkeka wakati wowote kuanzia leo

Usipomwelewa Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?".

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
Hamduni atawakusanya kwa kuigiza wanaingia mlamgo wa mbele wanatokea wa nyuma Wizi Tanzania uko kwenye DNA ya watumishi wa serikali ni moja sifa ya kupata kazi serikalini
 
Basi kuna mtu tu anataka amtoe huko juu ili kuhalalisha rasmi kifo cha shirika.

Maana huyu mama ukiona anampamia mtu ujue ameshapewa maelekezo toka juu.

Huko nishati ambako takukuru wamenusuru billioni zaidi ya 500 mbona hajapiga kelele anakuja kupigia kelele bilioni 50?

Muongo huyu mama. Yawezekana aliwekewa kigingi juu ya kuliua shirika kwa hiyo anataka amtoe mtu kafara ili kuzika rasmi shirika. Ila ayafanyayo leo juu ya taifa hili ajue yataandama kizazi chake chote mpaka akhera.
Wizara ya Nishati -Tanesco siyo maji kipimo chake hivyo anaishia kukunja gauni kisha analishusha na kuendelea na ya kiwango chake , wale jamaa wa uKanda wa pwani washamtia Kwa chungu Maza.
 
Mama aache kufata nyayo za JK atachanganyikiwa! Huyo role model wake nchi ilimshinda CCM kidogo dola iwaponyoke!

Achukue hekima za JK lakini awe firm kama JPM! Hii ngozi nyeusi bila ukali ni sawa na mazoea kwa mbwa, atakufata hadi msikitini [emoji56]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Serikali sasahivi ije mkataba wa ajira ambao utakuwa na vifungu kadhaaa vyenye kuainisha ikitokea mtu aliyepewa nafasi ya usimamizi hasa nafasi za uteuzi wa rais halafu ubadhilifu ukafanywa na huyo mtu basi akishahukumiwa baada ya kesi kuisha Arudishe hela zote na aongeze asilimia hata 10 ya hela aliyokuwa ameiba. Na baada ya hapo afutwe kazi. Na kiinua mgongo chake kilipwe mwisho wa tarehe aliyotumika serikalini siyo umri wa kustaafu. Sasa hivi kuna wasomi wengi sanaaaa hvyo hakuna haja ya kuwaza tutapata wapi wataalam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usipomwelewa Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?".

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
Anachekecha wezi wa fedha za umma halafu anawahamishia vituo vipya vya kazi maana yake nini sasa. Ni sawa na kuhamisha panya wanaokula mahindi kutoka chumbani kwenda stoo yenye mahindi hayo hayo.
 
Usipomwelewa Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?"

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
Kwenye hotuma zake nyingi zinazohusu ufisadi ukisikia akisema; ''Na hili nalo mkaliangalie'' Ujue imeisha hiyo.
 
Kwani amesema kuwa zimelipwa? Anasema walimletea invoice. Inaonekana amekataa kuipitisha.
Ukiachana na hili la ndege, kwenye vishkwambi vya sensa yamepigwa mabilioni kutokana na alichosema CAG. Vipi nao hao?
 
Du! Cha muhimu ndege ije.Sababu aliye order kaondoka zake, hapo vipi makamu wa rais aliyekuwa waziri wa fedha atapona?
Sijui Kama unaelewa kilichotokea
Order iliyotoka ilikua dola mil 37, Ila ghafla kipindi hiki ndio gharama ikaletwa dola mil 86. Makamu wa raisi hapo anahusika vipi? Issue ni nani sasa hivi ameleta hiyo gharama kubwa Sana tofauti na zamani?
 
Usipomwelewa Rais Samia anaposema "mimi sio vical" utakuwa unakosa vitu vingi sana!Jiulize tu kwamba,mtu asiye na nia njema na Nchi hii,angeweza kudislose ishu ya "over invoicing?"

Kwa mara ya kwanza tangu nimjue Mama jana ndio katamka maneno magumu ever"Pumbavu".Kwa mara ya kwanza bold kabisa anamwambia Takukuru fanya bila hofu yoyote.

Kauli za Mh RAIS za jana kwa sisi tuliosoma Mawasiliano zilikuwa na ukakasi mkubwa"mtupishe".Sijawahi kumuona Mama akiwa kwenye mood mbaya kama jana!

Baada ya kufunga kipindi jana na CAG,nasikia moja kwa moja alijifungia sehemu pekee yake na mpaka leo asubuhi hajatoka kwenye hiyo room!My predictions.

I. Weekend Hii tutegemee mtikisiko mkubwa katika maeneo ambayo CAG ameyagusa,ile mtupishe sio ya bule bule,tusubilie.

II. Tutegemee mkeka mzito kwenye kule alikuita "Poli la Halmashauri" weekend hii hii.

IIi. Tusishangae Kamanda Hamduni weekend hii akianza kukusanya wateja wake waliotajwa kwenye Madudu yale!

Wikiend hii ikipita Mama hajafanya kitu, Naama Nchi!Nipo paleee!
Msoga Gang mlilalamika vyuma vmekaza Sasa Asali imemwagwa nyingi
 
Back
Top Bottom