Inasemekana Rais kajifungia usiku mzima akichekecha wapigaji. Tutarajie mkeka wakati wowote kuanzia leo

Hamduni atawakusanya kwa kuigiza wanaingia mlamgo wa mbele wanatokea wa nyuma Wizi Tanzania uko kwenye DNA ya watumishi wa serikali ni moja sifa ya kupata kazi serikalini
 
Wizara ya Nishati -Tanesco siyo maji kipimo chake hivyo anaishia kukunja gauni kisha analishusha na kuendelea na ya kiwango chake , wale jamaa wa uKanda wa pwani washamtia Kwa chungu Maza.
 
Mama aache kufata nyayo za JK atachanganyikiwa! Huyo role model wake nchi ilimshinda CCM kidogo dola iwaponyoke!

Achukue hekima za JK lakini awe firm kama JPM! Hii ngozi nyeusi bila ukali ni sawa na mazoea kwa mbwa, atakufata hadi msikitini [emoji56]

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Serikali sasahivi ije mkataba wa ajira ambao utakuwa na vifungu kadhaaa vyenye kuainisha ikitokea mtu aliyepewa nafasi ya usimamizi hasa nafasi za uteuzi wa rais halafu ubadhilifu ukafanywa na huyo mtu basi akishahukumiwa baada ya kesi kuisha Arudishe hela zote na aongeze asilimia hata 10 ya hela aliyokuwa ameiba. Na baada ya hapo afutwe kazi. Na kiinua mgongo chake kilipwe mwisho wa tarehe aliyotumika serikalini siyo umri wa kustaafu. Sasa hivi kuna wasomi wengi sanaaaa hvyo hakuna haja ya kuwaza tutapata wapi wataalam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anachekecha wezi wa fedha za umma halafu anawahamishia vituo vipya vya kazi maana yake nini sasa. Ni sawa na kuhamisha panya wanaokula mahindi kutoka chumbani kwenda stoo yenye mahindi hayo hayo.
 
Kwenye hotuma zake nyingi zinazohusu ufisadi ukisikia akisema; ''Na hili nalo mkaliangalie'' Ujue imeisha hiyo.
 
Kwani amesema kuwa zimelipwa? Anasema walimletea invoice. Inaonekana amekataa kuipitisha.
Ukiachana na hili la ndege, kwenye vishkwambi vya sensa yamepigwa mabilioni kutokana na alichosema CAG. Vipi nao hao?
 
watahamishwa tu wengi ndugu wa vigogo
 
Du! Cha muhimu ndege ije.Sababu aliye order kaondoka zake, hapo vipi makamu wa rais aliyekuwa waziri wa fedha atapona?
Sijui Kama unaelewa kilichotokea
Order iliyotoka ilikua dola mil 37, Ila ghafla kipindi hiki ndio gharama ikaletwa dola mil 86. Makamu wa raisi hapo anahusika vipi? Issue ni nani sasa hivi ameleta hiyo gharama kubwa Sana tofauti na zamani?
 
Msoga Gang mlilalamika vyuma vmekaza Sasa Asali imemwagwa nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…