Inasemekana Wachaga hupunguza laana au mikosi kwa kuigawa kwa wahudhuriaji kwenye misiba

Sidhani kama alisema wote.....ila wapo wenye hizo mambo
 
Akina nani sasa mbona hamsemi ni wapi na ni ukoo upi?
mkienda livu mwisho wa mwaka mpige vita mila hii chafu k
ama mlivyopinga ukeketaji kwa bint zenu uone kama
tutawasema tena, ila mkiendelea nayo lazima tutapiga kelele
sababu mnatuumiza watoto wa wenzenu
 
mkienda livu mwisho wa mwaka mpige vita mila hii chafu k
ama mlivyopinga ukeketaji kwa bint zenu uone kama
tutawasema tena, ila mkiendelea nayo lazima tutapiga kelele
sababu mnatuumiza watoto wa wenzenu
Acha unafiki
 
we kihere here cha nini mkuu isijekuwa ukoo wenu ndio wahusika wa haya
Umeleta taarifa kwamba Wachagga wanakula vitu vya maiti.

Nimekubana na maswali ukadai ni Wachagga wenyewe walisema.

Nilipokuuliza ni wa wapi, ukadai ni baadhi ya koo.

Nikauliza ni koo zipi, unajibu niache kiherehere!

Hivi una akili kweli wewe kishoiya?
 
Kikubwa ujumbe umefika kwa wahusika
 
Week hii tuliwasema Sana staff wa JF kuhusu kuftwa AU Ku edit posts zetu

@ moderator wanatupima uvumilivu wa wana JF members,

SS kila Uzi usio mpendeza MTU AU watu fulani ufutwe itakuwaje hapa JF ?,

ALichokisema mleta Mada kina ukweli na pengine sio wachanga tu bali kuna Kabila nyingi zilizokuwa zinafanya ,now wameelimika wameacha AU kupunguza kabisa mila potofu.
 
Umesahau kuweka kiyesi cha ng'ombe katikati ya mishikaki ili kuongeza utamu😂
 
Moja ya uzi za hovyo jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…