Tetesi: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

Hapa ni Chama nae akiwa katika harakati za kuongeza nguvu kwa kutumia madawa.
 

Attachments

  • TIZI_LA_MWAMBA_WA_LUSAKA_CLATOUS_CHAMA_NA_DENZEL_TRAINER🔥🔥(360p).mp4
    5.1 MB
Kwani we haya huyawezi,mbina gata vitalO wanafanya hivi,hata Umisseta tuliyafanyaga
Sasa haya ndiyo niliyoweza kuyashuhudia mimi nikaonesha uthibitisho kuwa wanaongeza kupitia hayo. Sasa nawewe njoo na video yako ikiwaonesha hao wachezaji wakitumia madawa. Ukishindwa basi utakuwa binti mbea kama wale wanaofitinisha ndoa za watu. Umbea sio dili dada tafuta shughuli za kufanya, umetoka kwa Mwinyi Zahera saivi umeamia kwa wanaume wengine waliopo Yanga.
 
Simba haina wanachama kama wapo waje hapa, hahahaa
 
MAKOLO wanalalamika na kulia kuwa Wachezaji wa Yanga wanatumia Viagra na Mkongo kwa jinsi wanavyowapelekea moto

Maaskini MAKOLO
 
Sio mimi ni huko mitandaoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…