Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama hiyo mbinu inaweza ikawasaidia zaidi ya kuwadidimiza zaidi.Duru zinatabanaisha walio ongoza mgomo wa masai kule NGORONGORO leo wanafuatiliwa kukamatwa usiku huu.
Kama una ndugu yako yupo huko mshitue.
Yap iko hivyo muda mrefu. Gov haiwez kutake critisismKwahiyo Nchi hii No freedom after Speech?!
Wahujumu uchumi au whistle blowers?Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Sasa hapo uhujumu Uchumi unatokea wapi?Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Hayo watayajua wakiwa mikononi mwa vyombo vya dolaWahujumu uchumi au whistle blowers?
Namkumbuka Amin DadaKwahiyo Nchi hii No freedom after Speech?!
No guarantee after speech🤣🤣🤣🤣. Iddi Amini Dadaa alisemaga hiliKwahiyo Nchi hii No freedom after Speech?!
Una kikazi chako unalipwa vilaki kadhaa unajiona mtu wa mfumo.Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Are you mentally stable?Hao wanatakiwa kushugulishwa haswa, ni wahujumu uchumi
Ni kweli kabisa.AMANI YA HII NCHI NI MUHIMU KULIKO KITU CHOCHOTE
After au of?Kwahiyo Nchi hii No freedom after Speech?!