Mbona kulikiwa na uzi humu unaeleza hayo kuwa wanaume wenye uume mdogo wanakuwa na akili sana kuliko wenye uume mkubwa. Sijui kusearch uzi ila ulikuwepo humu kipindi kirefu kidogo. Cheki wazungu na wachina na wavimbuzi wengine na fananisha nyie wazigua mnaowaza ngono kila saa. Ukiamka asubuhi cha kwanza kujishika ni uume na sio sehemu nyingine.
Kuna uzi humu umeeleza hayo. Tulishajadiligi humu zamani. Sijui namna ya kufukua makaburi, ningefukua. Uzi unaeleza wazi namna.watu wenye IQ kubwa walivyo na Akili kubwa kuliko hawa wanaojisifia kuwa na uume mkubwa. Wao walichogundua ni tamaa ya ngono na kuifanya ngono kama ibada.