Inasemekana wanaume wenye sehemu kubwa za siri huwa wanapatwa na tatizo la uwezo mdogo wa akili

Inasemekana wanaume wenye sehemu kubwa za siri huwa wanapatwa na tatizo la uwezo mdogo wa akili

Kwahyo unataka kusema wenye ndonga kubwa ubongo unakua umehamia kwenye dushe au sioπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Damu nyingi inakuwa inazurura maeneo ya dushe, ubongo unakosa damu, na damu ndo inabeba oxygen
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Umenikumbusha mbali sana. Siku moja nilikuwa niko sehemu sehemu na kidosho ananichezea huku ninachat na mtu. Kuna swali niliulizwa kwenye chat, jibu nililotoa hadi mtu niliekuwa nachat nae akaniuliza, hivi unafanya nii saa hizi? Baadae nilipoangalia vitu nilivyomjibu, I say, nikasema huyu hakuwa mimi!

Unaweza kuombwa nyumba uliyojega ukasema ichukue tu haina shida!
Hapo ujue ubongo unakosa damu, damu inakuwepo maeneo ya dushe inazurura
 
Damu nyingi inakuwa inazurura maeneo ya dushe, ubongo unakosa damu, na damu ndo inabeba oxygen
Ah kumbe oxygen ndo akili tupeni somo sisi tuliokimbia kusoma now tunahahamaa hatujui hata kitu
 
Ah kumbe oxygen ndo akili tupeni somo sisi tuliokimbia kusoma now tunahahamaa hatujui hata kitu
Ni ile ile uliyosoma mkuu, damu inabeba red blood cells ambazo zina hemoglobin inayobeba oxygen, oxygen inatengeneza nguvu mfumo wa ATP, ATP ndo inatumiwa na ubongo kuchaji na hapo ubongo unafanya kazi.

Hivyo oxygen ikipungua ni majanga.
 
Ah kumbe oxygen ndo akili tupeni somo sisi tuliokimbia kusoma now tunahahamaa hatujui hata kitu
Bila oxygen kicwani ubongo unalala, sasa dushe ikitaka damu ubongo lazima uachie damu na hivyo kupungukiwa na oxygen.

Ndio maana hata ukikata ugali mzito na maharage mchana unasinzia. Damu nyingi inaenda kwenye tumbo kufanya kazi ya digestion, na ili ubongo usihitaji damu nyingi wakati huo inabidi ulale. Tofauti na ukisisimka ni kwamba wakati umesisimka, adrenalin zinakuwa zimeingia mwilini, na kukufanya usilale japo damu haiko kichwani, matokeo ni kwamba unakuwa macho lakini huna damu ya kutosha kuendesha ubongo ufanye maamuzi makini, unatoa dushu kwenye daladala na kumwagia dada kwenye makalio!

Ila sasa, ukimwaga tu, damu yote inarudi kichwani, ubongo unaanza tena kuchanganya, na hapo ndipo unaanza kujishangaa na ulichofanya na kukumbuka mvua 30 zinazokungoja!
 
Bila oxygen kicwani ubongo unalala, sasa dushe ikitaka damu ubongo lazima uachie damu na hivyo kupungukiwa na oxygen.

Ndio maana hata ukikata ugali mzito na maharage mchana unasinzia. Damu nyingi inaenda kwenye tumbo kufanya kazi ya digestion, na ili ubongo usihitaji damu nyingi wakati huo inabidi ulale. Tofauti na ukisisimka ni kwamba wakati umesisimka, adrenalin zinakuwa zimeingia mwilini, na kukufanya usilale japo damu haiko kichwani, matokeo ni kwamba unakuwa macho lakini huna damu ya kutosha kuendesha ubongo ufanye maamuzi makini, unatoa dushu kwenye daladala na kumwagia dada kwenye makalio! Ila sasa, ukimwaga tu, damu yote inarudi kichwani, ubongo unaanza tena kuchanganya, na hapo ndipo unaanza kujishangaa na ulichofanya na kukumbuka mvua 30 zinazokungoja!
Duh elimu tosha kabisa mm sikujua hilo
 
Duh elimu tosha kabisa mm sikujua hilo
Ndivyo ilivyo hata kwenye chap chap za changudoa. Unapiga kavu kavu wakati damu haipo kichwani, damu ikirudi kichwani baada ya kumwaga ndio unakumbuka ukimwi na condom uliyonayo mfukoni!

Sasa ndio tunasema, inaonekana tatizo linakuwa baya zaidi ukiwa na dushu kubwa.
 
Ndivyo ilivyo hata kwenye chap chap za changudoa. Unapiga kavu kavu wakati damu haipo kichwani, damu ikirudi kichwani baada ya kumwaga ndio unakumbuka ukimwi na condom uliyonayo mfukoni!

Sasa ndio tunasema, inaonekana tatizo linakuwa baya zaidi ukiwa na dushu kubwa.
Ohooo mtihabi kwahyo tuseme na yule anaeitwa popoma bas ana hali hii au siiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ohooo mtihabi kwahyo tuseme na yule anaeitwa popoma bas ana hali hii au siiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mkuu ila wengine ni tabia zao tu mbaya, ndio maaa nikasema utafiti unapaswa kufanyika. Wasisingizie kuwa na dushu kubwaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.

Ndio maana vichaa wengi ndio waliobarikiwa [emoji30]
 
Naonaga wengi wanalalamika kusimamiasha Kwa tabu
Ndio maana pia unaambiwa unapopata shida kusimamisha, punguza stress, tulia, kwa kuwa unapokuwa stressed damu inang'ang'ania kichwani. Relax usiwaze mambo ya kazi au mengine ili damu iondoke kichwani ikasimamishe dushu!
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
KAMA WEWE N ULIEANDIKA N MWANAUME KUNA SHIDA.......

ULIJUAJE UUME MKUBWA WA MWENZIO .ELSE UWE UNAJISEMA...

MAUMBILE YA MWENZIO WAFANYIA UTAFITII TAKBIIIIIR
 
KAMA WEWE N ULIEANDIKA N MWANAUME KUNA SHIDA.......

ULIJUAJE UUME MKUBWA WA MWENZIO .ELSE UWE UNAJISEMA...

MAUMBILE YA MWENZIO WAFANYIA UTAFITII TAKBIIIIIR
Hebu niondolee ujinga wako wa kidini hapa. Nenda Afghanstan kama unajiona wewe mdini sana, eboo. Takbiiir mwenyewe, kama ni tusi.

Mie ni scientist bwana, hata dushu yako hiyo nitaifanyia uchuguzi kama ina wadudu au la. Kwanza njoo tukupime usije ukawa na chronic syphilis imepanda kichwani
 
Mimi iko busy bwana, sio kama wewe una muda wa kuwa JF 24/7 unategemea kutunzwa na shemeji sijui


Kwa mara ya kwanza nilipokuuliza maswali mbona uliyajibu muda huohuo!! au na wewe muda huo ullkuwa umemuazima shemejio simu yake??, au ulikuwa unadowea kifurushi cha mama mkweo??.
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.

Una mume au boyfriend? Muulize swali ndogo tu la kufikirisha wakati amesisimka, na umpime kutokana na jibu lake, halafu linganisha na size yake ufanye judgement

Ulishasikia wanaume wanaahidi kumnunulia mtu Dreamliner wakati wako kwenye kilele? Ndio hapo sasa.

In fact, wanawake wengi wanaitumia sana hii phenomenon, toka enzi za mama zetu na leo, kudai kununuliwa kanga au IST wakati unajua mwanaume yuko ulimwengu wa juu!
Mkuu kwenye kilele, hata kibamia lazima aweweseke bhana!

Kwenye mshindo kuna mengi ya kustaajabisha namna wanaume wanavyovaa sura mpyaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†!

Hata kama alikuwa akiigiza kufanya, ikifika kwenye "mshindo state", maigizo tupa kule, uvivu weka pembeni, changamkia tenda kwa kutumia nguvu zote kujituma na kujitutumua kinyama!

Sura hubadilika na kuwa ya mnyama asiyefahamika jina, kutoa macho yote kama atoavyo panya aliyenaswa mtegoni ama kufumba kabisa macho na kukaza mataya.

Kutoa ulimi wote ama kuachama kabisa kizezeta huku akitokwa udenda!

Ushashuhudia mtu akifa, mfano ni huo sasa, maana kuna wengine hushindwa kujikontroo kabisa hadi kujinyea

Wanaoanza kufanya huku wakitafuna jojo, ikifika muda huo, ghafla jojo mdomoni hugeuka chungu, huzitema ama hujistahi kwa kuacha kutafuna na kumeza makapi kimya kimya!

Hizi Xxx video tunazoangalia ni michezo ya maigizo kwa watu waliojiandaa kumulikwa haina uhalisia.

Jamaa yangu aliweka camera ya siri kwenye chumba cha gest aliyokuwa akihudumia, ndiyo tuliona mengi ambayo hayaandikiki namna binadana na heshima zake anavyokosa utu anapokuwa kwenye kilele cha mahaba akikojoa!

Yupo tayari kuahidi kununua ndege, ili mradi jambo hilo zito lipite salama kwanza.

Na tena kungelikuwa na uwezekano wa kugawika jambo hilo, basi watu wengi wangelishindwa kulimaliza peke yao na kupelekea kupiga kelele za kuomba msaada wasaidiwe na wengine kumalizia.

Acha wanawake waitwe mama, wamebeba siri nyingi sana za madhaifu ya wanaume.
 
Kwa hiyo wenye vibamia hawana Risk kubwa na wanakua na akili timamu wakati wa msisimko kwa sababu hata mashine ikisimama, ni kiasi kidogo tu cha damu kinachotumika. Pia kukosa kujiamini inafanya waepukane kabisa na Risk[emoji23][emoji23] daah
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Uongo huu ni uongo kabisa
 
Back
Top Bottom