Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.
Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.
Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.
Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.
Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane
Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Una mume au boyfriend? Muulize swali ndogo tu la kufikirisha wakati amesisimka, na umpime kutokana na jibu lake, halafu linganisha na size yake ufanye judgement
Ulishasikia wanaume wanaahidi kumnunulia mtu Dreamliner wakati wako kwenye kilele? Ndio hapo sasa.
In fact, wanawake wengi wanaitumia sana hii phenomenon, toka enzi za mama zetu na leo, kudai kununuliwa kanga au IST wakati unajua mwanaume yuko ulimwengu wa juu!
Mkuu kwenye kilele, hata kibamia lazima aweweseke bhana!
Kwenye mshindo kuna mengi ya kustaajabisha namna wanaume wanavyovaa sura mpyaπππ!
Hata kama alikuwa akiigiza kufanya, ikifika kwenye "mshindo state", maigizo tupa kule, uvivu weka pembeni, changamkia tenda kwa kutumia nguvu zote kujituma na kujitutumua kinyama!
Sura hubadilika na kuwa ya mnyama asiyefahamika jina, kutoa macho yote kama atoavyo panya aliyenaswa mtegoni ama kufumba kabisa macho na kukaza mataya.
Kutoa ulimi wote ama kuachama kabisa kizezeta huku akitokwa udenda!
Ushashuhudia mtu akifa, mfano ni huo sasa, maana kuna wengine hushindwa kujikontroo kabisa hadi kujinyea
Wanaoanza kufanya huku wakitafuna jojo, ikifika muda huo, ghafla jojo mdomoni hugeuka chungu, huzitema ama hujistahi kwa kuacha kutafuna na kumeza makapi kimya kimya!
Hizi Xxx video tunazoangalia ni michezo ya maigizo kwa watu waliojiandaa kumulikwa haina uhalisia.
Jamaa yangu aliweka camera ya siri kwenye chumba cha gest aliyokuwa akihudumia, ndiyo tuliona mengi ambayo hayaandikiki namna binadana na heshima zake anavyokosa utu anapokuwa kwenye kilele cha mahaba akikojoa!
Yupo tayari kuahidi kununua ndege, ili mradi jambo hilo zito lipite salama kwanza.
Na tena kungelikuwa na uwezekano wa kugawika jambo hilo, basi watu wengi wangelishindwa kulimaliza peke yao na kupelekea kupiga kelele za kuomba msaada wasaidiwe na wengine kumalizia.
Acha wanawake waitwe mama, wamebeba siri nyingi sana za madhaifu ya wanaume.