Inasemekana wanaume wenye sehemu kubwa za siri huwa wanapatwa na tatizo la uwezo mdogo wa akili

Inasemekana wanaume wenye sehemu kubwa za siri huwa wanapatwa na tatizo la uwezo mdogo wa akili

Watakwambia una kibamiyaa
Mbona walishasema! Hongera zao kwa kutokuwa na kibamia. Angalau sie wenye vibamia hatuna tatizo la kumwagia watu mbegu kwenye daladala zilizojaa eti nilishikwa mfadhaiko sikujijua nafanya nini!
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.

Wewe hapo yako ni kubwa au ndogo??
 
Soma thread uelewe theme, uaonekana umeandika post ukiwa umesisimka

Kipimo cha akili ya mwanaume kina correspond na blood flow rate katika ubongo wake, na mwanaume akiwa na "nanihhi" kubwa rate of blood flow to the brain diminishes during sexual arousing as some portion of the blood goes to the "nanihii" to make it erect leading him kuwa na utendaji hafifu wa ubongo na hivyo kupungukiwa akili kwa wakati huo,--- kama nimeelewa theme vyema swali ni; je wewe mwenzetu hiyo "nanihii" yako ni kubwa au ndogo??.
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Maisha yanaenda kasi kuliko mwanga
 
Huenda tango linapouliza swali linatumia akili kubwa kulingana na ukubwa wa tango. Kwa maneno mengine akili inaishia kwenye tango.
 
Hili dude langu daah kuna wanawake linawaumiza utasikia anajiliza usiingize yoote... naumia
 
Sasa
Kipimo cha akili ya mwanaume kina correspond na blood flow rate katika ubongo wake, na mwanaume akiwa na "nanihhi" kubwa rate of blood flow to the brain diminishes during sexual arousing as some portion of the blood goes to the "nanihii" to make it erect leading him kuwa na utendaji hafifu wa ubongo na hivyo kupungukiwa akili kwa wakati huo,--- kama nimeelewa theme vyema swali ni; je wewe mwenzetu hiyo "nanihii" yako ni kubwa au ndogo?
Umeelewa na kueleza vizuri sana unafaa kuwa lecturer! Sasa mimi kuwa kubwa au ndogo inahusiana nini na theme ya thread? Kama nina kubwa ina maana na mie ninapatwa na mfadhaiko nikisisimka naweza hata kumbaka binti yako wa miaka mitatu, kama nina ndogo basi angalau hata nikisisimka nitakuwa na akili ya kutambua unyama wa kitendo hicho. Kama nina ya kati naweza kushawishika, lakini nikitafakari madhara na kifungo cha miaka 30 nkajua ni unyama, ukichaa na ujinga hata kuwazia tu jambo kama hilo
 
Wameazimka kujipa promo kwa Kila namna[emoji4]
Nakupa uchague kimoja kati ya vitu viwili; nikupe dushu kubwa kila mwanamke akuhusudu na wanaume kukuonea wivu, lakini usiwe na akili kabisa ya kufanya uamuzi, au nikupe kibamia wakati dunia nzima inakustahi kwa hekima na busara zako, na kila mtu anakutafuta umpe ushauri juu ya mafanikio ya maisha.

Ungechagua kipi? Ila nauliza basi tu, sihitaji unijibu ili nielewe.
 
Wanakudanganya. Ile kitu inapitisha kichwa ya mtoto, wewe dude lako kubwa kiasi gani bwana! Umeshaona vichwa vya Wasukuma vilivyo vikubwa? Basi vilipita pale.
Mkuu nikiingiza ndani kuna sehemu inagonga alafu inakua bado haijamalizikia kwa hio nikilazimisha kuingiza yote ndani ndio kanakuja hako kasauti usiingie yooote... Naumia nikimcheck usone machozi yanamlenga najua sasa hii ni km starehe tu sio adhabu,

Kuna mmoja aliwahi kuniambia nimemtegua kizazi baada ya kwenda hospital kuchekiwa yaan kizazi kimehama, kuna mmoja siku ya Kwanza namgusa alipoangalia mashine anaanza kuniambia una mashine kubwa hatari nikamuuliza kwanini? Akaniambia sijawahi kukutana na mashine km hii nilipoanza kupigilia vishindo na yeye akaanza kulialia uwiii usiiingize yooote nikamuuliza kwanini? Akajibu unavyoisukumia naona km inatokea mdomoni ikabidi niwe mpole tu, wenyewe wanaita MSHINDO
 
Nafikiri hapa tunachanganya mpaka mada asilia inapotea. Naona sasa tunaingia kwenye kutafuta na mwishowe tutaenda kujituma na hata kufanya kazi kwa uadilifu. Mada ilikuwa akili, kama sikosei IQ. Tunapokuja kutafuta, hapo kuna swala la vipaum,bele. Kama mtu ni malaya na anatumia muda mwingi kufukuzia na kutafuta mbususu hawezi kupata muda wa kuko"conetrate" katika kutafuta au kufanya kazi kwa uadilifu. Kwa hili hata ukiwa na mkonga kama wa "tapir" au punda, au kawe kadogo kama ka kuku hufiki mbali kwenye maendeleo. Kwanza, kwenye biashara unatakiwa kujinyima, mbususu inakaribisha matumizi yasiyo afya. Hata kazi au kujituma mpenda mbususu anatumia muda mwingi kwenye hilo, na kidogo kwenye mambo ya tija!
Unautani na mzabzab
 
Ndo mana wanawake wanatuzidi akili wakati wa tendo
 
Sasa

Umeelewa na kueleza vizuri sana unafaa kuwa lecturer! Sasa mimi kuwa kubwa au ndogo inahusiana nini na theme ya thread? Kama nina kubwa ina maana na mie ninapatwa na mfadhaiko nikisisimka naweza hata kumbaka binti yako wa miaka mitatu, kama nina ndogo basi angalau hata nikisisimka nitakuwa na akili ya kutambua unyama wa kitendo hicho. Kama nina ya kati naweza kushawishika, lakini nikitafakari madhara na kifungo cha miaka 30 nkajua ni unyama, ukichaa na ujinga hata kuwazia tu jambo kama hilo


Wewe kwa hicho ulichoandika hapo inaonekana "nanihhi" yako ni kubwa na umeandika ukiwa kwenye msisimko, calm down bro.

Mada yako inayo mapungufu fulani na ndio maana nikakuuliza swali la size ya "nanihii" yako badala ya kujibu inavyostahili imeleta majibu nasty,!!-- mtoto wangu wa kike kaingia vipi hapo??, nani kakuambia mimi nina mtoto wa kike??, hii ni njia ya kukwepa maswali, lakini kumbuka ukileta mada yoyote in public domain lazima ukumbane na maswali, by the way let it be so I have the daughter.

Swali:-, Unatambuaje kuwa "nanihii" hii ni kubwa,saizi ya kati na ndogo,??.

Jikite kwenye swali na ulete majibu ya ukubwa katika inches au mm nk. Lengo ni kujifunza na kuifanya mada yako iwe na mashiko.
 
Back
Top Bottom