Inasemekana wanaume wenye sehemu kubwa za siri huwa wanapatwa na tatizo la uwezo mdogo wa akili

Inasemekana wanaume wenye sehemu kubwa za siri huwa wanapatwa na tatizo la uwezo mdogo wa akili

No research,no right to speak....anyway inawezekana haupo Sana mbali na Ukweli
Hiyo siyo kweli. tunaanza na dhana, tunatafiti dhana, na kupata majibu. Na majibu yapatikanayo siyo final. Ndiyo maana watatifiti tunaamini hata matokeo ya utafitio siyo "finality" bado kuna nafasi ya kuboreresha, kuongezea, na hat kukataa yaliyoaminika huko nyuma. Knowledge is actually temporary. Ndiyo maana ukisoma tafiti kitu cha mwisho mtafiti huwa anaeema "more research is needed". Na hii ni muhimu, kwa sababu kila utafiti unaweza kuleta majibu tofauti kwa kufuatana na methodologies used. kwa mfano sample yako ikiwa ndogo na kutotumia probality sample selection, majibu yako yanaweza kutofautiana na mtu aliyetumia large sample na kutumia probability sample selection kupata partcipants.
 
Hujaniewa. Maana yangu ilikuwa kwamba huwezi kufanya conclusion kama unavyofanya kwenye mambo ya tafiti. Hata dawa tukisema inatibu, sio wagonjwa wote itawatibu

Halafu kuwa na ubongo mkubwa sio indicator ya kuwa na akili nyingi kati ya mwanadamu kwa mwanadamu, ila katika baadhi ya cases za species na species, kwa mfano mwanadamu na ndege. Na bado hapo sio general theory, la sivyo tembo au gorilla wangekuwa na akili zaidi ya mwanadamu

Angalia hapa
Hujanielewa. Maana yangu ilikuwa kwamba huwezi kufanya conclusion kama unavyofanya kwenye mambo ya tafiti. Hata dawa tukisema inatibu, sio wagonjwa wote itawatibu

Halafu kuwa na ubongo mkubwa sio indicator ya kuwa na akili nyingi kati ya mwanadamu kwa mwanadamu, ila katika baadhi ya cases za species na species, kwa mfano mwanadamu na ndege. Na bado hapo sio general theory, la sivyo tembo au gorilla wangekuwa na akili zaidi ya mwanadamu

Angalia hapa

Your intelligence is related to flow of blood to your brain: study​


ANI | DECCAN CHRONICLE
Published Sep 1, 2016, 3:10 pm IST
Your intelligence is not related to your brain size; rather it is linked more closely to the supply of blood to your brain.
Nimechungulia huko na ripoti hii ina complications nyingi, maana imejikita kwenye evolution na wameongelea kijujuu mno Hii haina maana tusiwaamini, bali unahitajika utafiti zaidi kuweza kuonyesha kweli kuna "relationship" hiyo. Ila mimi ninachofikiria (dhana of cause) ni kuwepo uhusiano wa kati ya ya performance and blood flow. Lakini kwa vile sijapata nafasi ya kuangalia literature zilizopo, siwezi kusema bila shaka huo uhusiano upo, but there might be a greater probability the relationship exists.

ANI | DECCAN CHRONICLE
Published Sep 1, 2016, 3:10 pm IST
Your intelligence is not related to your brain size; rather it is linked more closely to the supply of blood to your brain.
 
Wewe upo kwenye kundi lipi mkuu
Tumia mabandiko yangu kunitafutia kundi. Ila mwenyewe naamini. kama ilinyosemwa utafiti haufanywi na "arbitrary decisions but by vigorous studies and data lead interpretations and decisions". Upo!
 
I'm somehow convinced with this comment
Swali zuri sana. Kawaida ubongo unahitali 750ml za damu kwa dakika ili uwe katika hali nzuri ya kufikiri. Na mtu mwenye size ya kati anahitaji kiasi cha 130ml za damu ili uume usimame. Sasa kumbuka, mara nyingi, ukiwa una msisimko huku umesimama, tayari kwa kiasi fulani umepunguza urahisi wa damu kupanda juu kichwani, ndio maana watu wengine wanapata kizunguzungu.

Na zaidi, unaposisimuka, sio sehemu za siri tu zinachukua damu. Hata misuri ya miguuni, mapafu, moyo unadunda zaidi, vinahitaji oxygen zaidi. Labda tuseme itabidi kupunguza damu kwenye kwenye ubongo kutoka 750ml kwa dakika hadi 400ml kwa dakika. Lakini sasa huyo ni mtu wa size ya uume wa kawaida. Ukiwa na saizi kubwa labda ndipo tatizo linapoanza
 
Mie navyojua huwezi fanya invention za like Tesla,Newton,Benzos Jeff,christiano,Michael Jordan,Pele, Muhammad Ali, Einstein Albert or jack ma na uwe bado una nguvu huko chini. Mana panachukua energy kubwa mno yaani mno. Mpaka nawaza kuwa wanaozitafuta wanazipelekaga wapi.
Huwezi kuwaza kuachia kizazi chako kitu Kama Kairuki hospital &chuo,like ipp media, na bado ukawa unaongozwa na huko chini.

Wanaume tuna nguvu mbili
1) kutafuta k aka mbususu unayolala unaiota.
2) kutafuta maisha ama pesa ama Mali.
Sasa bwana hivi vitu viwili kukaa kwa sehemu moja Kuna repulsion force kubwa mno yaani mno.
Na kichwa kipo Kama ndoo ama vessel la kuhifadhia kitu chochote.
Sasa wewe umehifadhi mchele Mara unamwaga ili uhifadhi Tena ulezi.
Yaani ukiwa unahifadhi kitu kimoja like mchele utajua mashamba yote,wakulima wote na wadau wote wa mchele na utakuwa unajua quantity of productions kila mahala ambayo kwako wewe Ni faida unaweza ukaitumia kwa faida yako binafsi na ukatoboa.
Sasa Mara toa mchele weka asali Mara wekamo dhahabu,Mara wekamo mtama,mhogo,mahindi sidhani Kama utakuwa expert katika eneo lako.
Nafikiri hapa tunachanganya mpaka mada asilia inapotea. Naona sasa tunaingia kwenye kutafuta na mwishowe tutaenda kujituma na hata kufanya kazi kwa uadilifu. Mada ilikuwa akili, kama sikosei IQ. Tunapokuja kutafuta, hapo kuna swala la vipaum,bele. Kama mtu ni malaya na anatumia muda mwingi kufukuzia na kutafuta mbususu hawezi kupata muda wa kuko"conetrate" katika kutafuta au kufanya kazi kwa uadilifu. Kwa hili hata ukiwa na mkonga kama wa "tapir" au punda, au kawe kadogo kama ka kuku hufiki mbali kwenye maendeleo. Kwanza, kwenye biashara unatakiwa kujinyima, mbususu inakaribisha matumizi yasiyo afya. Hata kazi au kujituma mpenda mbususu anatumia muda mwingi kwenye hilo, na kidogo kwenye mambo ya tija!
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Mawazo ya Timu kibamia!
 
Kuna jambo ambalo linasemwa lakini halijafanyiwa utafiri kamili, kwamba mara nyingi wanaume wenye sehemu kubwa za siri uwezo wao wa akili huwa ni wa wastani au unakuwa chini, hasa wanapokuwa wamesisimka (kuwa sexually aroused). Na inasemekana kwamba hili ni tatizo linalotokea kwa kuwa wanaposisimka damu nyingi hutumika kwenda sehemu za siri na kusababisha upungufu wa damu kwenye ubongo kwa wakati huo.

Madai yanaendelea kuwa ukichunguza sana, utaona kwamba wengi wa wale wanaobaka watoto wadogo na kuwaharibu, au kubaka watu wazima, au kuwamwagia wanawake mbegu za kiume kwenye vyombo vya usafiri kunapokuwa na mbanano, au hata wanaoingilia vichaa, wanyama kama kuku, mbuzi nk, mara nyingi huwa na sehemu kubwa za siri zinazofanya akili isifanye kazi sawasawa wanapokuwa wamesisimka, na kufanya vitendo hivyo vya aibu. Na wengi wanaishia kusema nilishikwa mfadhaiko au kuingiliwa na ibilisi sikujitambua nilichokuwa nafanya.

Na habari zinaonyesha kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri, kutokana na uwezo mdogo wa kufikiri wanapokuwa wamesisimka, wapo katika hatari zaidi ya kuambukizwa magonjwa ya ngono kama AIDS kwa kuwa huwa hawana uwezo wa kufikiria hatari hizo wakishasisimka. Inasemekana kwamba wanaume wenye sehemu kubwa za siri ni rahisi pia kuchepuka nje ya ndoa. Ni baada ya kumaliza kufanya tendo na damu kurudi kwenye ubongo ndio wanaanza kujutia kitendo walichofanya bila kinga au tahadhari.

Wengi wanasema hili limesababisha kuwepo kwa msemo kwamba mwanaume alipoumbwa alipewa akili na sehemu ya siri, kwa masharti kwamba hawawezi kuvitumia vyote viwili kwa wakati mmoja - lakini tatizo lipo zaidi kwa wanaume wenye sehemu kubwa za siri.

Jumuia ya madaktari, tunaomba mfanye utafiti zaidi katika hii theory ili ukweli ujulikane

Kwa wanaume wenye sehemu ndogo au za kati za siri, huenda mna blessing in disguise bila kujitambua.
Inasemekana
 
Tumia mabandiko yangu kunitafutia kundi. Ila mwenyewe naamini. kama ilinyosemwa utafiti haufanywi na "arbitrary decisions but by vigorous studies and data lead interpretations and decisions". Upo!
Halikuwa swali lako mkuu
 
Hiyo siyo kweli. tunaanza na dhana, tunatafiti dhana, na kupata majibu. Na majibu yapatikanayo siyo final. Ndiyo maana watatifiti tunaamini hata matokeo ya utafitio siyo "finality" bado kuna nafasi ya kuboreresha, kuongezea, na hat kukataa yaliyoaminika huko nyuma. Knowledge is actually temporary. Ndiyo maana ukisoma tafiti kitu cha mwisho mtafiti huwa anaeema "more research is needed". Na hii ni muhimu, kwa sababu kila utafiti unaweza kuleta majibu tofauti kwa kufuatana na methodologies used. kwa mfano sample yako ikiwa ndogo na kutotumia probality sample selection, majibu yako yanaweza kutofautiana na mtu aliyetumia large sample na kutumia probability sample selection kupata partcipants.
Naona umejibu kisomi..Basi sawa
 
Mawazo ya Timu kibamia!
Utakuwa nadushu kubwa mno, hongera. Ila sasa, kama ni kweli, itakufaidi nini kuwa na dushu kubwa akati inakunyima uwezo wa kuwa na akili kichwani katika vipindi fulani? Usipoangalia ukubwa wa dushu unaweza kukuzawadia mvua 30 gerezani
 
Back
Top Bottom