DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mzee Wa series za Mapenz unabidi ujengewe sanamu pale Makumbusho karibu na duka la Tigo man biznes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mzee Wa series za Mapenz unabidi ujengewe sanamu pale Makumbusho karibu na duka la Tigo man biznes
Kwa hiyo unatushaurije wenye 30+ no marriage, no kids tufanyaje??Mwanamke akifikisha miaka 30, kwisha habari yake, hata kama hana mtoto!
Pole sana!Kwa hiyo unatushaurije wenye 30+ no marriage, no kids tufanyaje??
Kila la kheri mkuu...Mim nitaoa mwanamke mwenye miaka 30 Kwenda juu chini ya hapo hapana.mim pamoja nakua sjafka umri huo toka nimeanza kutoka na wanawake umri huo nimechange sana kwanza mwanamke akiwa na umri huo anawaza sana kesho,hawana mambo ya kitoto,wengi wao wanawaza kesho sana,afu ni washauri wazuri sana Kweny masuala ya uchumi.yani kiufupi wengi at least wanakua tayari mature.tofauti na miaki 20
Tafuta pesa badala ya kukaa vijiweni na kuteta wanawake,wewe mama yako ana umri gani?Mzee wako akifa ghafla,unataka tusimtongoze mama yako aishi mjane mpaka kifo?Habari wanajamvi,
Kuna huu msemo umezidi kushamiri katika maeneo mengi tofauti! Ni kuhusiana na kushushwa thamani ya kuwepo katika ndoa kwa wanawake aina ya thate plus!
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mdada huku ana 37 namwambia tuzae haraka haraka vitoto 2 ana ile sitaki nataka Atanikumbuka
Ndo hivo[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu mtu anaoa kwa ajiri gani?Inatengeneza unaoa kwaajili gani
[emoji23][emoji23][emoji23] looo!!Mkuu mtu anaoa kwa ajiri gani?
KabisaAhsante kwa taarifa, hayanaga muongozo...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna mdada huku ana 37 namwambia tuzae haraka haraka vitoto 2 ana ile sitaki nataka Atanikumbuka