Inashangaza kuona mpaka sasa Wajumbe Bodi ya Ligi Kuu hawajatangaza kujiuzulu

Inashangaza kuona mpaka sasa Wajumbe Bodi ya Ligi Kuu hawajatangaza kujiuzulu

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Baada ya Makosa makubwa na uvunjifu mkubwa wa kikanuni uliofanywa na Bodi ya Ligi, Inashangaza kuona mpaka sasa ni Mjumbe mmoja tu ambaye ni Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja ambaye amejiuzulu nafasi yake na kutoka nje ya kikao baada ya maamuzi ya kutolewa ambapo yeye anaamini hayakuwa maamuzi sahihi.

Bodi ya Ligi imejidhihirisha kuwa ni taasisi isiyoheshimu miongozo na kanuni inayojiwekea. Maamuzi ambayo yameigharimu sana sekta ya michezo nchini, maamuzi yaliyowaathiri maelfu ya mashabiki na wapenzi wa mpira barani Afrika. Bodi ya Ligi imefanya maamuzi ya kukurupuka na kuathiri mashabiki, wadau na wawekezaji ambao wameathirika kwa kiasi kikubwa.

WITO : Ni wakati sasa Bodi ya Ligi, kama jinsi wanavyoadhibu vilabu vingine kwa faini. Nayo inapaswa ijiwajibishe kwa makosa haya makubwa. Pia kama kuna baadhi ya viongozi wa TFF ambao wamehusika kufanya maamuzi haya mabovu ambayo hayapo kikanuni nao wachukuliwe hatua kali.
 
Wajiuzulu kwa lipi, kufuta mechi ya utopolo?

We kweli unaumwa na utasubiri mpaka mwakani na utopolo atapeleka timu mechi ikipangwa upya.
Baada ya Makosa makubwa na uvunjifu mkubwa wa kikanuni uliofanywa na Bodi ya Ligi, Inashangaza kuona mpaka sasa ni Mjumbe mmoja tu ambaye ni Mjumbe wa kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa ligi kuu Tanzania bara Ndugu Filimon Ntahilaja ambaye amejiuzulu nafasi yake na kutoka nje ya kikao baada ya maamuzi ya kutolewa ambapo yeye anaamini hayakuwa maamuzi sahihi.

Bodi ya Ligi imejidhihirisha kuwa ni taasisi isiyoheshimu miongozo na kanuni inayojiwekea. Maamuzi ambayo yameigharimu sana sekta ya michezo nchini, maamuzi yaliyowaathiri maelfu ya mashabiki na wapenzi wa mpira barani Afrika. Bodi ya Ligi imefanya maamuzi ya kukurupuka na kuathiri mashabiki, wadau na wawekezaji ambao wameathirika kwa kiasi kikubwa.

WITO : Ni wakati sasa Bodi ya Ligi, kama jinsi wanavyoadhibu vilabu vingine kwa faini. Nayo inapaswa ijiwajibishe kwa makosa haya makubwa. Pia kama kuna baadhi ya viongozi wa TFF ambao wamehusika kufanya maamuzi haya mabovu ambayo hayapo kikanuni nao wachukuliwe hatua kali.
 
Wajiuzulu kwa lipi, kufuta mechi ya utopolo?

We kweli unaumwa na utasubiri mpaka mwakani na utopolo atapeleka timu mechi ikipangwa upya.
Kwa hiyo unaona walichofanya ni sawa?
 
Yaani Mabausa Wa Yanga waiharibu dabi halafu wajumbe wa bodi ya Ligi wajiuzuru..! Kwa Lipi hasa?

Mbona hili haliingii akilini.!

Kwani bodi ya Ligi waliwatuma Mabaunsa wa Yanga kuzuia Mazoezi ya Simba?

Utopolo, hata kama Haji Manara aliwaita Mazuzu basi jishikilieni japo kidogo.! Ficheni Uzuzu wenu.!
 
Yaani Mabausa Wa Yanga waiharibu dabi halafu wajumbe wa bodi ya Ligi wajiuzuru..! Kwa Lipi hasa?

Mbona hili haliingii akilini.!

Kwani bodi ya Ligi waliwatuma Mabaunsa wa Yanga kuzuia Mazoezi ya Simba?

Utopolo, hata kama Haji Manara aliwaita Mazuzu basi jishikilieni japo kidogo.! Ficheni Uzuzu wenu.!
Sawa, Mabaunsa wapigwe faini, Yanga ipigwe faini, kila mmoja awajibishwe kwa mujibu wa kosa lake, na hayo yote yalipaswa kufanyika na kamati ndani ya saa 72 baada ya mchezo. Ila HAKUNA kanuni inayoruhusu mchezo kuahirishwa. Rage ajengewe sanamu
 
Wajiuzulu kwa lipi, kufuta mechi ya utopolo?

We kweli unaumwa na utasubiri mpaka mwakani na utopolo atapeleka timu mechi ikipangwa upya.
Watu wenye fikra hizi mnapendwa san na ccm
 
Hivi Yanga wangekuwa wamezuiwa kukagua uwanja pangekalika?. Hebu punguzeni uhayawani😜
 
NADHANI WATU WENYE AKILI TIMAMU KAMA JF TUKAE TUTOE PENDEKEZO LA KUUOKOA MPIRA WETU.

sio kila swkunde Uzi
 
Yaani Mabausa Wa Yanga waiharibu dabi halafu wajumbe wa bodi ya Ligi wajiuzuru..! Kwa Lipi hasa?

Mbona hili haliingii akilini.!

Kwani bodi ya Ligi waliwatuma Mabaunsa wa Yanga kuzuia Mazoezi ya Simba?

Utopolo, hata kama Haji Manara aliwaita Mazuzu basi jishikilieni japo kidogo.! Ficheni Uzuzu wenu.!
Kwa hiyo wewe unajua kuliko Mamlaka halali zilizowekwa?
 
Back
Top Bottom