Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Sawa mkuuBei ya vyakula kupaa juu siyo kosa la rais. Ziffuatazo ndiyo sababu:-
1. Korona
2. Vita ya Ukraine na Russia
3. Uzalishaji umepungua kwasabb vijana wengi wamekimbilia mijini kufanya kazi za uchawa, bodaboda, udalali, udangaji, kucheza pool, kubet n.k. Kazi za shamba wanafanya wazee.
N.B: Kama unaona bei ya vyakula iko juu kalime vyako.
CCM CCM CCM CCM hoja yako haina mashiko hata kidogo endelea kulamba asaliBei ya vyakula kupaa juu siyo kosa la rais. Ziffuatazo ndiyo sababu:-
1. Korona
2. Vita ya Ukraine na Russia
3. Uzalishaji umepungua kwasabb vijana wengi wamekimbilia mijini kufanya kazi za uchawa, bodaboda, udalali, udangaji, kucheza pool, kubet n.k. Kazi za shamba wanafanya wazee.
N.B: Kama unaona bei ya vyakula iko juu kalime vyako.
Sio lazima kila mtu awe mkulima pia taasisi ya uraisi inatakiwa kuwa responsible na upandaji bei wa vitu sio kulaumu vita vya urusiLini mh Rais wetu mpendwa amepandisha Bei ya hizo nafaka? Ulitaka huo unga uuzwe kwa shilingi ngapi? Nchi gani ambako havijapanda vitu? Unajuwa wakulima walinunua mbolea kwa shilingi ngapi msimu uliopita? Unafahamu gharama za kilimo wewe?
Kwa hiyo ulitaka wakulima wawe wakulia machozi kila siku? Ulitaka wakulima wawe watu wakuteseka juani na kwenye mvua halafu jasho lao liliwe na watu wachache walio kaa kimvuli? Ulitaka wakulima wawe watu wa kupata hasara kila siku? Ulitaka kila siku wakulima waendelee kubaki pale pale na ufukara wao?
Wewe nakuona na nakufuatilia Sana humu jukwaani na imeonyesha waziwazi kuwa unachuki binafsi na mh Rais wetu mpendwa na unatamani kuona akishindwa kuongoza nchi, hupendi kuona mafanikio ya mh Rais, hutaki kuona akifanikiwa kwa lolote lile na unaumia moyo wako Sana unapoona mamilioni ya watanzania wanyonge wakiendelea kumuunga mkono mh Rais wetu mpendwa
Kilimo Ni Biashara Kama unataka nenda na wewe shambani ukalimee ili uuze kwa Bei hata ya Mia kwa kilo ili kufurahisha moyo wako, Muache mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani atutumikie watanzania tunaoendelea kuhitaji utumishi wake, wewe Bali na chuki zako hapo hapo ulipo uone Kama zitakufikisha popote pale
Hebu tutajie nchi ambazo Rais wao amefanya juhudi ya kushusha bei ya vyakula ili nasi tukahemeeSio lazima kila mtu awe mkulima pia taasisi ya uraisi inatakiwa kuwa responsible na upandaji bei wa vitu sio kulaumu vita vya urusi
Kwani wewe hujaona juhudi za serikali kupambana na mfumuko wa Bei? Hujaona serikali ikitoa mabillioni ya pesa katika juhudi za kukabiliana na mfumuko wa Bei?Sio lazima kila mtu awe mkulima pia taasisi ya uraisi inatakiwa kuwa responsible na upandaji bei wa vitu sio kulaumu vita vya urusi
Mkuu unafatilia kilimo biashara au unafata mkumbo tuBei ya vyakula kupaa juu siyo kosa la rais. Ziffuatazo ndiyo sababu:-
1. Korona
2. Vita ya Ukraine na Russia
3. Uzalishaji umepungua kwasabb vijana wengi wamekimbilia mijini kufanya kazi za uchawa, bodaboda, udalali, udangaji, kucheza pool, kubet n.k. Kazi za shamba wanafanya wazee.
N.B: Kama unaona bei ya vyakula iko juu kalime vyako.
Umeniwahi nilitaka kuzungumzia hili shairi.eat more blood grassEat More , the slogan says
Wewe hayawani unatumia muda wako wote kuandika the za kijinga za kumtukuza Mwendazake badala ya kutafuta hela, lazima upigwe na UTAPIAMLO.Leo hii bei ya nafaka kama mchele na unga imepaa maradufu kabla ya ya huyu mkuu wa nchi kuingia madarakani.
Kabla ya kuingia madarakani mchele ulikuwa ukiuzwa sh 1200 kwa kilo . Sasa hivi Mchele unauzwa sh 3600 kwa kilo.
Huko mitaani wananchi wanalia juu ya ugumu wa maisha. Maana uchumi umekwama. Hali ya mzunguko wa pesa ni nduni na raia wanalia.
Maisha ni magumu . Kupata mlo ni ngumu alafu mkuu mkuu wa nchi anataka wananchi wapate lishe bora ili wazaliane. Hii ina wezekana?
Hatari sana!Leo hii bei ya nafaka kama mchele na unga imepaa maradufu kabla ya ya huyu mkuu wa nchi kuingia madarakani.
Kabla ya kuingia madarakani mchele ulikuwa ukiuzwa sh 1200 kwa kilo . Sasa hivi Mchele unauzwa sh 3600 kwa kilo.
Huko mitaani wananchi wanalia juu ya ugumu wa maisha. Maana uchumi umekwama. Hali ya mzunguko wa pesa ni nduni na raia wanalia.
Maisha ni magumu . Kupata mlo ni ngumu alafu mkuu mkuu wa nchi anataka wananchi wapate lishe bora ili wazaliane. Hii ina wezekana?