Inashangaza mtu anakuwa na nguo hadi za kulalia

Inashangaza mtu anakuwa na nguo hadi za kulalia

Mtoa bada sidhani, kama anamaanisha watu walale uchi, ila anashangaa kuwa na nguo maalumu za kulalia, kama zile zinazoitwa kwa kizungu night dress, maana yeye akiwa na pensi la jinzi, anaanguka nalo, akiwa na bukta sawa tu, mkewe akilala na kitenge twende, sket ilimradi pakuche, naona anamaanisha hivyo.
Si ndio,
 
Nyie laleni uchi tu siku moja panya akosee tundu ndo mtajua hamjui😁
 
Hizo nguo za kulalia zinataka mazingira ya kulala yawe mazuri pia, uvae pajama halafu ac huna, hilo jasho utaliweza, hayo manguo yanataka hewa nzuri bwana..
 
Kuna siku watakupiga picha mkuu 😂😂😂😂
🤣🤣Kabisa juz hapa jirani kaibiwa simu kupitia dirishani na mm kwangu nikakuta dirisha limefunguliwa kilichonisaidia ni kitanda kilizuia kuniibia simu nikawaza ningelala bila nguo si ni hatar hii🤣🤣🤣
 
wengine wanafanya kamoja mke na mume halafu wanaoga wanava nguo za kulalia ndio wanalala.
halafu kukicha mmoja akichepuka mwingine analalamika. aaalah.!!
hahahahahahahahahahahahaha.....
nguo za kulalia zinawafaa wazee wa umri wa miaka 70 na kuendelea bwana.
 
🤣🤣Kabisa juz hapa jirani kaibiwa simu kupitia dirishani na mm kwangu nikakuta dirisha limefunguliwa kilichonisaidia ni kitanda kilizuia kuniibia simu nikawaza ningelala bila nguo si ni hatar hii🤣🤣🤣
Ungelala bila nguo. leo hapa ingekua kuna uzi wako unakimbiza tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Mi namuona tuu huyu Vishu Mtata yeye anajiamini anasema ety yeye hato trend....

Ngoja ajichanganye 😂😂😂
 
Yani mnachukulia usingizi ni kitu serious sana mpaka mnakuwa na nguo za kulalia, Yani mtu anakuwaje na nguo za kulalia? Mimi najua unajitupa tu kitandani unalala Ivo Ivo.

Nguo zakulalia tena?

Yanakuwa kama ile mifuko ya mashineni ya kusagia unga.
 
Ungelala bila nguo. leo hapa ingekua kuna uzi wako unakimbiza tu 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Mi namuona tuu huyu Vishu Mtata yeye anajiamini anasema ety yeye hato trend....

Ngoja ajichanganye 😂😂😂
Mwizi hana muda wa kukupiga picha wewe acha woga, labda awe anaiibia pisi na imelala kihasara ndo ataipiga picha walau apigie nyeto.
 
Hahahah,umenikumbusha yule mchungaji mgogo alisema eti mwanamke umeolewa halafu unalala na bukta kubwaa na T-shirt imeandikwa "sensa kwa maendeleo"hata mume anashindwa kukusogelea😄😄.
 
Hahahah,umenikumbusha yule mchungaji mgogo alisema eti mwanamke umeolewa halafu unalala na bukta kubwaa na T-shirt imeandikwa "sensa kwa maendeleo"hata mume anashindwa kukusogelea[emoji1][emoji1].
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom